kissambivi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 218
- 119
Tatizo saido mchoyo
Shangilia chura ni muda wako huu😂Updates
Kolo 0 .......1 singida el de wananchi
Slogan ... hatumtaki benchika na mangungu
Kwa hio unawaambiaje waibanduehaina maana yoyote.
Ahsante mkuu kwa imformaçaò maana wamekimbilia kuanzisha uzi alafu hawataki kutupa update.Kuna jamaa anaitwa RUPIA .....JAMAA ANATISHA ....KWANZA KIPA ALIVOMUONA ANAKUJA NA MPIRA.....KIPA KAKIMBIA GOLINI![]()
Usanii mtupuKwa hio unawaambiaje waibandue
Apr kanipigia wapi!?..Mimi mnyaturu wa kulima alizeti



bas tulizanaaa.Onana si ndo kawa Ronaldo siku hizi? auyani uwezo wa onana = saido = kenedy = baleke = Zero , hawa wachezaji kuendelea kucheza simba inafikirisha sana.
Mmmh kwa leo, wanaweza kushinda aseeeh,Huwa wanafanya hivyo mara zote na hawajawahi kushinda