FT: Simba SC 0 - 0 APR SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | 05.01.2024

uran

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
7,580
10,818
Match Day.
Simba Vs APR

20240105_065615.jpg


Msimamo wa Kundi B Ulivyo.
Screenshot_20240105-230922~2.png

Hii nimetengeneza mwenyewe, hivyo kama kuna error tujuzane.

Hapa Simba tunahitaji tu Draw yoyote ili tuweze kuingia robo fainali.

APR anahitaji kutufunga Goli 4 - 0 ili aweze kuingia robo.
Kitu ambacho hakiwezekani.

Akipata huo ushindi hapo atakuwa kapindua meza kwa Singida FG.

KIKOSI CHA SIMBA KINACHOANZA.
20240105_192318.jpg


KIKOSI CHA APR KINACHOANZA.
Screenshot_20240105-192600~2.png

#nguvumoja#

Game On.
Dakika ya 22
Simba 0-0 APR
Vijana wa Simba wanajitahidi sana kupiga ball.

Dakika ya 27'
APR wanakosa goli hapa.
Inakuwa kona, inapigwa haileti madhara kwa Simba.

Dakika ya 30'
Simba wanafanya shambulizi kali kwa APR.
inakuwa off target.

Dakika ya 37'
Simba wanapata kona inapigwa haizai

Dakika ya 43'
wanapata kona, inapigwa kipa anadaka.

Dakika ya 45'
Wanapata free kick eneo la nje kidogo ya 18'
Inapigwa inakuwa goal Kick.

Dakika za Nyongeza ni 4.
kuhitimisha kipindi cha kwanza.

Dakika ya 45+2.
Simba wanapata kona, haileti madhara yoyote.

Dakika ya 45+4'
Apr wanapata kona hapa haileti shida langoni mwa Simba.

HT
Simba 0 - 0 APR.

Kipindi cha Pili kimeanza.
Simba wamefanya mabadiliko kwenye kikosi.
Onana Inn
Baleke Inn.
Chilunda Out

Dakika ya 48'
Mchezo unaendelea.

Dakika ya 54'
Baleke anapiga kichwa safi sana hapa.
Inakuwa goal kick.

Dakika ya 56'
APR wanafanya shambulizi kali.
Kipa anasimama vyema.
Inakuwa kona.
Inapigwa kona fupi hapa lakini haileti tabu yoyote.

Dakika 63'
Simba wanafanya shambulizi kali sana linaishia kwenye mikono ya Kipa.

Dakika ya 65'
anatoa assist butu sana
APR wanafanya sub

Dakika ya 69'
Mpira Unaendelea na uelekeo wake ni Kwa APR

Sub kwa Simba.
Phiri Inn
Saidoo Inn

Dakika ya 70'
Simba wanakosa tena.
Kipa wa APR anasimama vyema.

Dakika ya 76'
APR wanapata kona hapa inapigwa inakuwa goal kick.

Dakika ya 82'
Simba wanaongeza sana kasi ya mashambulizi kwa APR
Sub.
Che Malone Inn
Kanoute Out

Dakika ya 88'
Bado Milango ni migumu kwa pande zote!!

Dakika 89'
Mpira umesimam kidogo hapa kuna mchezaji wa APR ameua.
aligongana na Phiri.

Dakika ya 90 +1'
simba wanapiga kona haileti shida yoyote.
Game on...

Nyongeza ni Dakika 5.

Full Time
Simba 0 - 0 APR.

Asanteni sana
 
Leo nimekuwa wakwanza kukoment, wekeni likes za kutosha, kila lakheir mnyama.

Ila mwana unalalaga ukiwaza kuanzisha uzi tu mechi, hongera kwa umakini huu.
Hapana uzi nimeanzia saa Moja.
Baada yakuona hakuna uzi.

Ni vyema sisi tukaanza mapema kujadili match, ikifika jioni ni mahesabu tu mwanetu. Hakuna baya
 
Benchi la ufundi la Simba likumbushwe kuwa na wachezaji maalum wa kupiga faulo/mipira iliyokufa, penati na kona. Sio kila mchezaji anaweza kufanya hivyo. Ndio maana katika mechi iliyopita Simba ilipoteza kijinga kabisa nafasi zaidi ya mbili za faulo karibu ya goli tena kama sikosei alikuwa Kanoute. Kanoute na faulo wapi na wapi. Kilichotokea kwenye mechi iliyopita kila mchezaji alikuwa anata kupiga faulo wakati upigajiwa faulo ni kipaji kama vilivyo vipaji vingine.

Tmu nyingi kubwa duniani zinakuwa na wapigaji maalum wawili/ watatu hivi kutegemeana na umbali kutoka golini na upande faulo ilipotokea kutoka golini. Timu inaweza kuwa na mpigaji mmoja kwa faulo zote au wakati mwingine timu inaweza kuwa na mchezaji anayepiga faulo za upande wa kushoto na mwingine akawa napiga faulo za upande wa kulia. Na yote haya huanzia mazoezini kwa benchi la ufundi kujua ni mchezaji gani huwa anapiga mipira iliyokufa kwa usahihi na hata wachezaji wenzake wanapaswa walijue hilo.

Aliye karibu na Matola amfikishie taarifa hii italisaidia benchi la Simba.
 
Match Day.
Simba Vs APR
View attachment 2862204

Msimamo wa Kundi B Ulivyo.
View attachment 2862206
Hii nimetengeneza mwenyewe, hivyo kama kuna error tujuzane.

Hapa Simba tunahitaji tu Draw yoyote ili tuweze kuingia robo fainali.

APR anahitaji kutufunga Goli 4 - 0 ili aweze kuingia robo.
Kitu ambacho hakiwezekani.

Akipata huo ushindi hapo atakuwa kapindua meza kwa Singida FG.

#nguvumoja#
Mm nataka Simba afungwe goli 4-0 kwa sababu Singida ni tawi la UTOPOLO
 
Benchi la ufundi la Simba likumbushwe kuwa na wachezaji maalum wa kupiga faulo/mipira iliyokufa, penati na kona. Sio kila mchezaji anaweza kufanya hivyo. Ndio maana katika mechi iliyopita Simba ilipoteza kijinga kabisa nafasi zaidi ya mbili za faulo karibu ya goli tena kama sikosei alikuwa Kanoute. Kanoute na faulo wapi na wapi. Kilichotokea kwenye mechi iliyopita kila mchezaji alikuwa anata kupiga faulo wakati upigajiwa faulo ni kipaji kama vilivyo vipaji vingine.

Tmu nyingi kubwa duniani zinakuwa na wapigaji maalum wawili/ watatu hivi kutegemeana na umbali kutoka golini na upande faulo ilipotokea kutoka golini. Timu inaweza kuwa na mpigaji mmoja kwa faulo zote au wakati mwingine timu inaweza kuwa na mchezaji anayepiga faulo za upande wa kushoto na mwingine akawa napiga faulo za upande wa kulia. Na yote haya huanzia mazoezini kwa benchi la ufundi kujua ni mchezaji gani huwa anapiga mipira iliyokufa kwa usahihi na hata wachezaji wenzake wanapaswa walijue hilo.

Aliye karibu na Matola amfikishie taarifa hii italisaidia benchi la Simba.
Pengine hawakuipa umuhimu sana ile mechi.
 
Benchi la ufundi la Simba likumbushwe kuwa na wachezaji maalum wa kupiga faulo/mipira iliyokufa, penati na kona. Sio kila mchezaji anaweza kufanya hivyo. Ndio maana katika mechi iliyopita Simba ilipoteza kijinga kabisa nafasi zaidi ya mbili za faulo karibu ya goli tena kama sikosei alikuwa Kanoute. Kanoute na faulo wapi na wapi. Kilichotokea kwenye mechi iliyopita kila mchezaji alikuwa anata kupiga faulo wakati upigajiwa faulo ni kipaji kama vilivyo vipaji vingine.

Tmu nyingi kubwa duniani zinakuwa na wapigaji maalum wawili/ watatu hivi kutegemeana na umbali kutoka golini na upande faulo ilipotokea kutoka golini. Timu inaweza kuwa na mpigaji mmoja kwa faulo zote au wakati mwingine timu inaweza kuwa na mchezaji anayepiga faulo za upande wa kushoto na mwingine akawa napiga faulo za upande wa kulia. Na yote haya huanzia mazoezini kwa benchi la ufundi kujua ni mchezaji gani huwa anapiga mipira iliyokufa kwa usahihi na hata wachezaji wenzake wanapaswa walijue hilo.

Aliye karibu na Matola amfikishie taarifa hii italisaidia benchi la Simba.
Ilishangaza sana, naunga mkono hoja yako mwanetu!!
 
Back
Top Bottom