Simba ya kina boko au ya kina fledi?Simba ni dude kubwaa
Mkuu kushangilia ni wajibu, mmekoswa kupoteza alama 3 sio mbaya hata 2 ni nyingi sana. Hii ni ligi na ni marathon hivyo mwenzio nguo yake ikinasa kwenye senyenge hupaswi kurudi kumsaidia bali kimbia nenda mbele zaidi ili asikukute kabisa.Utopolo wanashangilia
Mtu akiwa likizo si sahihi kumghasighasi.Nipo likizo ya kushabikia Simba, nipumzisheni kidogo
Wachezaji waliopo sio wabaya na hawezi kupata wazuri zaidi ya alio nao aoneshe ukocha wake kwa Hawa waliopo kwanzaBenchika anahitaji wachezaji Wazuri tu Ili kujijenga upya Simba, jambo linalowezekana wenye timu wakiamua.
Bado ili kuwa bingwa lazima ashinde match 5 zilizoko mbele yake ndio atajiita bingwaYANGA Bingwa hii haina ubishi tena... Yanga wamekosa mpinzani Tanzania
We Mzee Wamegoma Kuleta Timu Uwanjani
Tarehe 20 Tunawanyoosha Inakuwa 9 ClearanceSio mbaya, gap imepungua kwa point 1.
Nayo ni Matokeo ya Soka
Yanga anarudisha points 3... mdogo mdogo tunasonga.
ZoteSimba ya kina boko au ya kina fledi?
Hatumtaki MangunguMimi naona Simba mashabiki wasiingie uwanjani Ili viongozi akili zao zikae sawa
Timu Inacheza Mtandaoni Siku Hizi😂😂😂Admin pamoja na kutupa moyo lakini wapiView attachment 2962494
Dawa Bado Haijaingia VizuriHatumtaki Mangungu
Si alifurahi Azam kumfunga Yanga. Tulimuonya akaleta za kuleta.Hii nafasi ya 3 Simba ndo atamaliza nayo.