FT | Ihefu SC 1 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Liti stadium | Aprili 13, 2024

Ili Simba iepuke mkono tarehe 20 inahitaji wawe na nyota wengine 5 kuanza kikosi cha kwanza.
 
YANGA Bingwa hii haina ubishi tena... Yanga wamekosa mpinzani Tanzania
 
Wanamsimbazi Tunawakaribisha Benjamin Mkapa Mje Kulipa Kisasi Tar 20.

Maana Game Ya Mwisho Mlikuwa Nyumbani Mkala 5 Sasa Ni Wakati Wenu Kuja Kulipa Kisasi.

Karibu Sana Wanamsimbazi
 
Admin pamoja na kutupa moyo lakini wapi
qlvqnm.jpg
 
Back
Top Bottom