uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 7,525
- 10,765
Match Day!
Simba SC Vs Namungo FC
⌚ 04:00pm
🏟️ Uhuru Stadium.
Namungo anakutana na mnyama aliyejeruhiwa.
Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Namungo
Kikosi cha Namungo Kinachoanza
All the Best Simba.
#Nguvumoja#
Mchezo umeanza
10' Simba wanaonekana kuwa na presha ya kutafuta matokeo
20' Presha ni kubwa kwa Simba ambao wanaonena kukosa utulivu wanaposhambulia
29' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Reliants Lusajo anaipatia Namungo goli la kwanza baada ya walinzi kudhani ameotea, anamchambua kipa
34' Bado mambo ni magumu kwa Simba
MAPUMZIKO
74' Matokeo bado ni yaleyale, Simba wanafika langoni kwa Namungo lakini hakuna mafanikio
75' GOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Baleke anasawazisha goli kwa Simba akimalizia pasi ya Moses Phiri
90' Zinaongezwa dakika 4
Full Time
Simba SC Vs Namungo FC
⌚ 04:00pm
🏟️ Uhuru Stadium.
Namungo anakutana na mnyama aliyejeruhiwa.
Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Namungo
Kikosi cha Namungo Kinachoanza
All the Best Simba.
#Nguvumoja#
Mchezo umeanza
10' Simba wanaonekana kuwa na presha ya kutafuta matokeo
20' Presha ni kubwa kwa Simba ambao wanaonena kukosa utulivu wanaposhambulia
29' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Reliants Lusajo anaipatia Namungo goli la kwanza baada ya walinzi kudhani ameotea, anamchambua kipa
34' Bado mambo ni magumu kwa Simba
MAPUMZIKO
74' Matokeo bado ni yaleyale, Simba wanafika langoni kwa Namungo lakini hakuna mafanikio
75' GOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Baleke anasawazisha goli kwa Simba akimalizia pasi ya Moses Phiri
90' Zinaongezwa dakika 4
Full Time