Wait BrazaBila hivyo msingepata goli
Nipo likizo ya kushabikia Simba, nipumzisheni kidogoC:C Mshana Jr bila kusahau mwasibu wetu OKW BOBAN SUNZU
Utopolo mwenzangu Derby match usiingie uwanjani na matokeo yako kichwani kabisa, tunaweza kukuzika kwa kipigo cha kutotarajia.Angalau Simba wanashambulia Hawa Simba watakuwa wanacheza mind game dhidi ya Yanga ili tuwapuuze tuwe makini nao
Not easy bwana mekuMuda wowote Ihefu wanatia goli la pili
Bado hamjasemaIla Hii game Ihefu kama wameonewa
Huyo dogo namuelewa tangu yuko Geita huwa ni aggressive hatari sijajua wanangoja Nini kumchukua ila kwa jicho la mpira akipata proper training ni future ya mpiraHuyu Kevin Nashon anafaa kuja Yanga asaidiane na Aucho. Dogo ni mchezaji mzuri sana
Tena?Ila Hii game Ihefu kama wameonewa