FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ha ha jamani ngoja nitangaze interest nilikua naumwa jana so sikuangalia match ila idadi hizi za magoli kwa Celta ni indicator fulani hivi
Team ina morale sana kadili siku zinavyoenda kikosi kimeimarika sasa kuanzia back hadi foward kile kitu tulichokua tunakimis kinarekebishwa in short naona treble this year

Treble tremble aisee Barca wana roho mbaya.....
 
Mechi ya leo imepigwa kiufundi sana. Tunepata kona 7 wao wamepata 1 tu. Hakuna kadi hata moja ya njano kwa pande zote. What a game!!
Unzue Juan kocha wa Celta ni copy ya Enrique so hua anafundisha tu mpira hamna uhuni uhuni
Is a very good coach nadhani aki prove ipo siku atakula neema za Camp Nou kama kocha mkuu
Huyu ndio alipanga formation na strategies za kuiua PSG goli 6-1 , february 8 , 2017 nasikia Enrique alisha give up
 
Kama kawaida, nimemuangalia Dembele tena kwa umakini. MOSQUITO IS READY TO ATTACK!

zile dribles za Jana hazikua za mchezo mchezo!

Kitu kimoja ambacho hua sina hofu nae ni kupiga cross, hua zinaenda pale anapo pataka.!

Angalia alivyomuwekea Arnaiz, angalia alivyomuwekea Rackitic akapiga kisigino, angalia alivyo muwekea Suarez apige bicycle kick!

Zile one to one against defenders hadi unafurahi.

Bado tatizo moja tu, upigaji pasi (Barca style). Anakaa na mpira muda mrefu kabla ya kuachia pasi.

Ila with time naamini atazoea.

At least Jana right flank imepata uhai. Bado coutinho on the left!

I CAN SMELL THE TREBLE!
 
Kama kawaida, nimemuangalia Dembele tena kwa umakini. MOSQUITO IS READY TO ATTACK!

zile dribles za Jana hazikua za mchezo mchezo!

Kitu kimoja ambacho hua sina hofu nae ni kupiga cross, hua zinaenda pale anapo pataka.!

Angalia alivyomuwekea Arnaiz, angalia alivyomuwekea Rackitic akapiga kisigino, angalia alivyo muwekea Suarez apige bicycle kick!

Zile one to one against defenders hadi unafurahi.

Bado tatizo moja tu, upigaji pasi (Barca style). Anakaa na mpira muda mrefu kabla ya kuachia pasi.

Ila with time naamini atazoea.

At least Jana right flank imepata uhai. Bado coutinho on the left!

I CAN SMELL THE TREBLE!
Dembele ni fire
 
Kama kawaida, nimemuangalia Dembele tena kwa umakini. MOSQUITO IS READY TO ATTACK!

zile dribles za Jana hazikua za mchezo mchezo!

Kitu kimoja ambacho hua sina hofu nae ni kupiga cross, hua zinaenda pale anapo pataka.!

Angalia alivyomuwekea Arnaiz, angalia alivyomuwekea Rackitic akapiga kisigino, angalia alivyo muwekea Suarez apige bicycle kick!

Zile one to one against defenders hadi unafurahi.

Bado tatizo moja tu, upigaji pasi (Barca style). Anakaa na mpira muda mrefu kabla ya kuachia pasi.

Ila with time naamini atazoea.

At least Jana right flank imepata uhai. Bado coutinho on the left!

I CAN SMELL THE TREBLE!
Wacha waume meno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom