Kama kawaida, nimemuangalia Dembele tena kwa umakini. MOSQUITO IS READY TO ATTACK!
zile dribles za Jana hazikua za mchezo mchezo!
Kitu kimoja ambacho hua sina hofu nae ni kupiga cross, hua zinaenda pale anapo pataka.!
Angalia alivyomuwekea Arnaiz, angalia alivyomuwekea Rackitic akapiga kisigino, angalia alivyo muwekea Suarez apige bicycle kick!
Zile one to one against defenders hadi unafurahi.
Bado tatizo moja tu, upigaji pasi (Barca style). Anakaa na mpira muda mrefu kabla ya kuachia pasi.
Ila with time naamini atazoea.
At least Jana right flank imepata uhai. Bado coutinho on the left!
I CAN SMELL THE TREBLE!