AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Namuongelea RakiticVip Sanchez naye garasa?
Kama ni jembe abaki hukohuko
Namuongelea RakiticVip Sanchez naye garasa?
Hizo tetesi hata mtandaoni sijaziona....Kama unamjua si.mumbakize
Sizani kama ubongo wako unafanya kaziNamuongelea Rakitic
Kama ni jembe abaki hukohuko
Huyu pique n bek mbovu sana...tunaposhambuliwa ndo unaweza elewa udhaifu wake...n mbovu sana kwenye marking but n bora sana kwenye kuanzisha mashambuliz I mean kupga pass..mech iliyopta dhid ya Madrid aliotuokoa alikua n vermalain...tackling zote zilikua na hakr...PIQUE ndio roho ya defence Barca,kuwepo kwake kuna stabalise defence,cause anatumia akili kuliko brute force-
View attachment 672967 Yerri Mina on his way to Barcelona to sign contract
Mkuu source ni Barca LiveKweli?
Nahsi uliangalia mpira kwa kutumia jicho la nyumaHuyu pique n bek mbovu sana...tunaposhambuliwa ndo unaweza elewa udhaifu wake...n mbovu sana kwenye marking but n bora sana kwenye kuanzisha mashambuliz I mean kupga pass..mech iliyopta dhid ya Madrid aliotuokoa alikua n vermalain...tackling zote zilikua na hakr...
Yeah iko confirmed kwenye reliable source huyu jamaa ni tahira zaidi ya Dani Alves God Forbid and blessKweli?
Kumbe ni shehe....View attachment 672967 Yerri Mina on his way to Barcelona to sign contract
Uliangalia first half vzr ww????Huyu pique n bek mbovu sana...tunaposhambuliwa ndo unaweza elewa udhaifu wake...n mbovu sana kwenye marking but n bora sana kwenye kuanzisha mashambuliz I mean kupga pass..mech iliyopta dhid ya Madrid aliotuokoa alikua n vermalain...tackling zote zilikua na hakr...
Mkuu Barca Live ndio walitoa taarifaKumbe ni shehe....
Denis ni majeruhi au?
Hukunielewa.....Mkuu Barca Live ndio walitoa taarifa