FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hivi lini Messi ata stop ku score umewahi kujiuliza?
Mungu wa ajabu sana huyu jamaa ni natural talented goal scorer hatumii nguvu ,yuko very calculated ,sure ,accurate, speed
Messi ndio the first scholar wa Johan Cruyyf you know why?kwanini hatumii muscles sana kupiga mipira ya ku score kama mtu fulani?
Jibu simple tu "MPIRA UNACHEZWA NA UBONGO" sio maneno yangu ni ya founder wa tick taka mwenyewe Cruyff
 
Copa Del Ray next round.
3aab60893e9ede366aafc2bf6be4caf3.jpg
 
Hivi lini Messi ata stop ku score umewahi kujiuliza?
Mungu wa ajabu sana huyu jamaa ni natural talented goal scorer hatumii nguvu ,yuko very calculated ,sure ,accurate, speed
Messi ndio the first scholar wa Johan Cruyyf you know why?kwanini hatumii muscles sana kupiga mipira ya ku score kama mtu fulani?
Jibu simple tu "MPIRA UNACHEZWA NA UBONGO" sio maneno yangu ni ya founder wa tick taka mwenyewe Cruyff
Ndio ujue kwamba nguvu zinatangulia kuisha kabla ya akili

Yule jamaa anatumia nguvu sana kuliko akili ndio maana amefika kikomo chake
 
Ha ha jamani ngoja nitangaze interest nilikua naumwa jana so sikuangalia match ila idadi hizi za magoli kwa Celta ni indicator fulani hivi
Team ina morale sana kadili siku zinavyoenda kikosi kimeimarika sasa kuanzia back hadi foward kile kitu tulichokua tunakimis kinarekebishwa in short naona treble this year

Treble tremble aisee Barca wana roho mbaya.....
Kabisa Mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom