FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ha ha haaaa, mgeni anautamani kabisa msosi ila anavunga ameshiba.

Mwenyeji anabembeleza mpaka kumletea chapati usoni kabisa😄😄 ndio baadae mgeni akubali kula, anasema, nitie baraka kidogo tu.😄

Tunazingua sana aisee
NAam, ndo utamaduni wa kitanzania huu, mambo ya ajabu sana
 
Barcelona akikosekana raphinha tu hamna timu ipigwe tu hakuna namna
 
Screenshot_20260222-211309_Facebook.jpg
 
Tumerudi tena juu ya table.

Penalty FC walitushikia nafasi kwa muda.

Scars

Busu la Kenge
Utofauti wa sisi na nyie, sisi hatunaga malalamiko ya kishamba pale tunapopoteza mechi.

Tukifungwa tunaimisha kichwa chini tuna focus na mechi ijayo.

Lakini nyinyi mkipoteza tu mechi hapo hapo mkitoka tu uwanjani mnapitiliza stationery kuchapa barua za malalamiko.

Shirikisho linalalamika barua zenu zimekuwa nyingi kama files za Epstein.

Bado na huku mtandaoni mashabiki wa Barca mmekuwa kero kwa lawama mara mlaumu kukosekana kwa baadhi ya key players wenu mara mlalamikie maamuzi ya refa.

Yani kiufupi vilio vyenu havieleweki kama msiba wa kichina.

Sasa kwasababu tushajua nyinyi hamna guts za ku handle maumivu bila kelele inafikia wakati tunawaombea mshinde ili mji utulie.
 
Nili mwambia mtu kama mpira ungekuwa game 1 tu, simeone angekuwa kaenda fainali nyingi sana.

Maana hawa makocha wenzie wana plan ya kukamia mno, anyway barca aishie hizo hizo 3.
 
FT 3 4 tumeshindwa kuchomoa.

Sio mbaya acha tufocus na ligi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom