FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kelele nyingi
 

Attachments

  • 1746672818814.jpg
    1746672818814.jpg
    215.5 KB · Views: 8
Unaishangaa barca kukaa miaka kumi bila Uefa.

We Madrid ulikaamiaka 30 bila UEFA.

Baada ya kuchukua kombe mwaka 1996 ukaja kuchukua 1998.

Ni mambo ya kawaida kwenye soka.
Ndo kuvurugwa au? Hapo mbna kuna tofauti ya miaka 2 na sio hiyo 30 unayosema wee..

Barca mmechanganyikiwa kabisaa, 😂😂😂😂
 
Ndo kuvurugwa au? Hapo mbna kuna tofauti ya miaka 2 na sio hiyo 30 unayosema wee..

Barca mmechanganyikiwa kabisaa, 😂😂😂😂
Nichanganyikiwe wakati mpaka sasa nna makombe mawili kibindoni.

Wewe timu yako hipi?
 
Unaishangaa barca kukaa miaka kumi bila Uefa.

We Madrid ulikaamiaka 30 bila UEFA.

Baada ya kuchukua kombe mwaka 1966 ukaja kuchukua 1998.

Ni mambo ya kawaida kwenye soka.
Unajua wabongo hawajui mpira.
Mimi nashangaa Simba isimu uliyopita walilalamika team bovu wakati ilifika mpk robo fainali CAF.
Walitukana viongozi wao.

Shida ya wabongo wanamtaka team miaka yote iwe bola kitu ambacho ni impossible kwenye soka.
 
Hivi ilikuaje ile trio ya MSN ikachukua UEFA mara moja tuu?

Ndio mtegemee kina Yamal wawape UEFA

Mtakaa miaka 10 tena
 
Kweny UCL usijaribu kuisema Madrid bro...14 Kwa 5 ni parefu
Mimi sijaisema nimeandika fact.

Madrid alikaa miaka 32 bila ya kunyanyua taji la UEFA.

This is undisputed truth.

Kuhusu Madrid kuchukua UEFA 15 hili sipingi.

inawezekana pia timu nyingine kuchukua mara nyingi na kuipita Madrid.
 
Hey cules.

Kesho tuna kibarua kigumu na Vardrid.

Jamaa wamejipanga kushinda game ya kesho kwa hali na mali.

Game naona itakuwa ngumu upande wetu ukizingatia saikolojia za wachezaji kutolewa UEFA na uchovu wa mechi.
 
Unaishangaa barca kukaa miaka kumi bila Uefa.

We Madrid ulikaamiaka 30 bila UEFA.

Baada ya kuchukua kombe mwaka 1966 ukaja kuchukua 1998.

Ni mambo ya kawaida kwenye soka.
Yuefa za Kudhulumu kina A.madrid kwa magoli ya ofsaidi Kudhulumu kina bayan kwa Magoli ya cr7 ya Offside kaja Tena kuwadhulumu Bayern juzi tu hp
Hw bila Utapeli Wana yuefa moja tu
 
Mimi sijaisema nimeandika fact.

Madrid alikaa miaka 32 bila ya kunyanyua taji la UEFA.

This is undisputed truth.

Kuhusu Madrid kuchukua UEFA 15 hili sipingi.

inawezekana pia timu nyingine kuchukua mara nyingi na kuipita Madrid.
Very possible kumpita lkn apewe heshima yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom