zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,759
- 36,297
Duh kumbe jukwaa la blaugrana dah hii timu inatupa stress hadi tunakosea vyumba 🤣🤣Umekosea jukwaa mkuu.
Pole kwa kufungwa.
Duh kumbe jukwaa la blaugrana dah hii timu inatupa stress hadi tunakosea vyumba 🤣🤣Umekosea jukwaa mkuu.
Pole kwa kufungwa.
Unaishangaa barca kukaa miaka kumi bila Uefa.Kelele nyingi
😂😂😂😂😂Oya shek body.
View attachment 3327137
Ndo kuvurugwa au? Hapo mbna kuna tofauti ya miaka 2 na sio hiyo 30 unayosema wee..Unaishangaa barca kukaa miaka kumi bila Uefa.
We Madrid ulikaamiaka 30 bila UEFA.
Baada ya kuchukua kombe mwaka 1996 ukaja kuchukua 1998.
Ni mambo ya kawaida kwenye soka.
Nichanganyikiwe wakati mpaka sasa nna makombe mawili kibindoni.Ndo kuvurugwa au? Hapo mbna kuna tofauti ya miaka 2 na sio hiyo 30 unayosema wee..
Barca mmechanganyikiwa kabisaa, 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Nichanganyikiwe wakati mpaka sasa nna makombe mawili kibindoni.
Wewe timu yako hipi?
Ndo mana kumbe.😂😂😂😂😂
Mie nilifurushwa mapema sana, The Citizens hapa.
Wana Etihad.
Ni from 1966 to 1998.Ndo kuvurugwa au? Hapo mbna kuna tofauti ya miaka 2 na sio hiyo 30 unayosema wee..
Barca mmechanganyikiwa kabisaa, 😂😂😂😂
Unajua wabongo hawajui mpira.Unaishangaa barca kukaa miaka kumi bila Uefa.
We Madrid ulikaamiaka 30 bila UEFA.
Baada ya kuchukua kombe mwaka 1966 ukaja kuchukua 1998.
Ni mambo ya kawaida kwenye soka.
Nyie Madrid mbona mlikaa miaka 32 bila ya UEFA na hatusemi.Hivi ilikuaje ile trio ya MSN ikachukua UEFA mara moja tuu?
Ndio mtegemee kina Yamal wawape UEFA
Mtakaa miaka 10 tena
Kweny UCL usijaribu kuisema Madrid bro...14 Kwa 5 ni parefuNyie Madrid mbona mlikaa miaka 32 bila ya UEFA na hatusemi.
Au mnafikiri hatujui?
Mimi sijaisema nimeandika fact.Kweny UCL usijaribu kuisema Madrid bro...14 Kwa 5 ni parefu
Yuefa za Kudhulumu kina A.madrid kwa magoli ya ofsaidi Kudhulumu kina bayan kwa Magoli ya cr7 ya Offside kaja Tena kuwadhulumu Bayern juzi tu hpUnaishangaa barca kukaa miaka kumi bila Uefa.
We Madrid ulikaamiaka 30 bila UEFA.
Baada ya kuchukua kombe mwaka 1966 ukaja kuchukua 1998.
Ni mambo ya kawaida kwenye soka.
Very possible kumpita lkn apewe heshima yakeMimi sijaisema nimeandika fact.
Madrid alikaa miaka 32 bila ya kunyanyua taji la UEFA.
This is undisputed truth.
Kuhusu Madrid kuchukua UEFA 15 hili sipingi.
inawezekana pia timu nyingine kuchukua mara nyingi na kuipita Madrid.