FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mwenzetu unaangalia mpira wapi?

Au banda umiza la tegeta kwa ndevu?

Uwanja umeinama Inter anaomba mechi iishe.
Njoo ubwate tena, na mkienda Vatican ni kuchinjwa tyuuh
Unaionaje hiyooo? 😂😂😂😂😂😂
 
Poleee, kusanyeni virago hamna chenu UEFA.
😂😂😂😂😂😂
Tupo uzuri kule game dakika 90 nyingine tutakaza..


So far hatuna kikosi kikubwa kupambania makombe yote hayo...

Hata tukitoka sina ninachomdai kocha wala wachezaji...

Tutaelekeza nguvu zetu kwenye ligi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom