huku africa timu inayokua away wanakwambia inabidi wacheze kwa nidhamuu - ---- raphiinhaa chumaaaa 3-3Ulaya ibaki kuwa ulaya aisee kimpira..
Angali forward jinsi wanavyojituma kutafuta goli...
Huu mpira mpaka unaleta raha kuangalia..angalia watu wanavyotengewa na kumalizia..Leo kunawaka kwa Papa😀😀😀huku africa timu inayokua away wanakwambia inabidi wacheze kwa nidhamuu - ---- raphiinhaa chumaaaa 3-3
Naogopa Mimi dahVipi Barcelona akienda inter itakuwa hivi Kwe mrudishano wazee?
Barca safar imewadia nimengalia mechi zoo nyingi za away kiwango kibovuVipi Barcelona akienda inter itakuwa hivi Kwe mrudishano wazee?
Unasema?Chomoeni na hapo
Mmeanza kupiga ramli mwaka huu Barca wananyanyua UEFABarca safar imewadia nimengalia mechi zoo nyingi za away kiwango kibovu
Wacha tuone mana Hawa inter wakiwa kwao ni balaa kabisa.Barca safar imewadia nimengalia mechi zoo nyingi za away kiwango kibovu