Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 5,482
- 7,060
Mbona Inter Milan wameanza uchafuzi mapema hivi?
Tuombe Mungu majeraha yakae mbali nayehuyu dogo anabalaa sana
Mwenzetu unaangalia mpira wapi?Barca wakileta masikhara, wanafungasha virago, oooh
😂😂😂😂😂😂
Inter Milan wamezidiwa aisee, Barcelona ina vijana wenye vipaji na akili nyingi sana ya mpira. Naona ile Barcelona iliyokuwa inatamba enzi hizo kwenye klabu ikirudiBarca wakileta masikhara, wanafungasha virago, oooh
![]()
Inter anamezeshwa moto kwa lazima.Mwenzetu unaangalia mpira wapi?
Au banda umiza la tegeta kwa ndevu?
Uwanja umeinama Inter anaomba mechi iishe.
Hakika mkuuTuombe Mungu majeraha yakae mbali naye
Niko hapa kivule, uwanjq umeinama wapiii?Mwenzetu unaangalia mpira wapi?
Au banda umiza la tegeta kwa ndevu?
Uwanja umeinama Inter anaomba mechi iishe.
Sio kwa BarcaInter ukuta mbovu
PSG akutangulie goli 2 huwezi kuzirudisha kiujeje kama hivi.
Huyu dogo ni moto wa kuotea mbali
Wasalimie hapo kivule kwa mfuga mbwa.Niko hapa kivule, uwanjq umeinama wapiii?
Narudia wakileta masikhara, wanafurushwaaa.
😂😂😂😂
Eti eeeh bas sawaa, 😂😂😂😂Wasalimie hapo kivule kwa mfuga mbwa.
Sisi ngoja tucheki soka.
Sio kwamba beki za Inter zinavuja ni kwamba wamekutana na watoto wanashambuliaBarcelona wakitulia kuna magoli mengi sana hapa. Beki za kati za inter zinavuja!
DiMarco atalala anamuota Yamal