Maajab ya mpira
Hata kama Barcelona ni mbovu vipi , hakuna justification ya kutolewa kisengerema kama jana , Ule ni usege , kikosi ni kile kile kilichoshinda Camp nou , ufala wa wachezaji ndo umesababisha ile fedheha ya jana , mijitu inacheza kikuma tu mamaeee . Mi naona wachezaji wote kasoro Messi wawajibishwe kwa utovu wa nidhamu , kile walichofanya jana ni utovu wa nidhamu pumbavu sana wale
Kama ulikuwa na kiherehere ingetakiwa wakupige kabisa makofiSo Disappointed na hii timu kwakweli, kipigo cha J4 lakini mpaka leo nataniwa dah
sawa mkuunduguyanguKama ulikuwa na kiherehere ingetakiwa wakupige kabisa makofi
Usifanye hvyo.Kwa kweli huu uzi ufungwe tu ad tuingie fainali msimu ujao wa UEFA. Nimeuacha kuangalia mpira kiukweli
Ha haa.linarudi wapi tena?Kwani Messi alivyosema UCL inarudi Nou Camp walijua anatania?
Imethibitika ni bora dunianiHizi timu za EPL bado sana kwa hawa machalii wa Spain, huyo aliepigwa hizo 3 ndio wanamjaza kwamba ndio timu bora Ulaya kwa sasa
Messi anajua alipoWapi Yule beki bora EPL?
Umesahau na Barcelona hapo.Kawafunge kina fulham, cardif, manyua ndio size yako
Hapo ndipo mlipokosea.Messi kweli wewe ni Messiah🙆🙆
Ha haai have this gut feeling sooner or later Messi atawafanya kitu mbaya-Dembele akiingia tu Liver lazima wakae chini