mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
This year was our number priority(UEFA) ,we reinstate policy na kuchukua wachezaji wawili wapya (left flank na striker ) then we comebackMpira hudunda!
Mnaweza kuchukua UCL mwakani na mnaweza msichukue vile vile
It could go either way
Who knows
Mimi sina ushabiki wa kukariri matokeo kabla ya mechi.
Nimejifunza jana yaliyotokea Anfield namkubali Messi lakini yeye sio Mungu wa football