FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

King amepania sana kubeba ndoo ya UEFA msimu huu
Screenshot_20181105-105920.jpeg
Screenshot_20181105-110318.jpeg
 
Valverde asilazimishe Messi acheze huko Millan kama hajawa fit kwa asilimia mia!

Sio aingie uwanjani nusu saa atoke analia watuambie anakaa tena nje wiki sita.

Hatutaki masikhara na UEFA msimu huu.
Unawaza kama Mimi. Wamwachie mnyama, nkonki nkonki, master "Suarez" aendelee kusimamua shoo!!!
 
Valverde asilazimishe Messi acheze huko Millan kama hajawa fit kwa asilimia mia!

Sio aingie uwanjani nusu saa atoke analia watuambie anakaa tena nje wiki sita.

Hatutaki masikhara na UEFA msimu huu.
Huyu kocha ana akili nyingi trust me
King amepania sana kubeba ndoo ya UEFA msimu huuView attachment 921944View attachment 921946
Ameshatolewa kwenye list
Pale unapo jaribu kumpoteza adui
IMG_20181105_185342.jpeg
 
Yaani nikimuangalia Vidal anavyonyanyasika mpaka nacheka. Yaani jamaa kama anasukumwa tu. Hana balance kabisa leo
Nahisi hawa majamaa ushindi wa Clasico walienda kusherekea kwa kugonga kwa sana. Yaani utafiriki wanabeba magunia miguuni. Wazito sana

tena vidal itakuwa alipiga chupa sana then akaenda kupiga mambo yetu maana wamenyanyasa sana wale mbwa maana sio kwa kupoteza balance vile
 
huyu rafinha inabidi akae mbao ndefu malcom au dembele wacheze au mnyama messi acheze hivyo hivyo huku amefunga kamba mkono wake kwenye shingo mwalimu sio anakariri kikosi kilichomfunga inter ndio kitafunga kila kitu ni kitu cha uongo nimeona mechi tatu huyu anarukaruka tu zaidi ya upepo kufunga goli la inter....... afanye upuuzi wote lakini pale muandazi arthur melo na kaka zake sergio na rakitic hasipaguse kabisa...nainggolan leo anaenda kukutana na mtu katili pale kati namuonea huruma sana
 
huyu rafinha inabidi akae mbao ndefu malcom au dembele wacheze au mnyama messi acheze hivyo hivyo huku amefunga kamba mkono wake kwenye shingo mwalimu sio anakariri kikosi kilichomfunga inter ndio kitafunga kila kitu ni kitu cha uongo nimeona mechi tatu huyu anarukaruka tu zaidi ya upepo kufunga goli la inter....... afanye upuuzi wote lakini pale muandazi arthur melo na kaka zake sergio na rakitic hasipaguse kabisa...nainggolan leo anaenda kukutana na mtu katili pale kati namuonea huruma sana
Umeme unaweza ukamhusu Leo "Naingolan"...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom