Labda na AlbaYaani Leo kila mchezaji yupo hovyo except Goalkeeper. Viungo wote wako hovyo Sana sijui what went wrong
Kweli uchawi upoHahaaaaaa 3
ImooooWakamae sasa huenda tukashindaa
Noma sanaaaaImoooo
Babu unakuja nyakati za furaha tuImoooo

Labda na Alba
Mkuu nahisi Mungu ni shabiki wa Barcelona tu kaamua kutenda miujiza yake ila hii game haikustahili haya matokeo kabisa...Lkn tumecheza vibaya sana leo

Hahaaaa Dembele anani kwaza sana, sijui anataka auzwe hata simuelewiMkuu nahisi Mungu ni shabiki wa Barcelona tu kaamua kutenda miujiza yake ila hii game haikustahili haya matokeo kabisa...
Tumezidiwa sana/tumecheza hovyo hovyo tu ila tumepata ushindi![]()