Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Uwepo wake hapo juu utampa motisha ya kuzidi kukaza
Uwepo wake hapo juu utampa motisha ya kuzidi kukaza
What a comeback, nilijua tushapigwa nikajilalia

Moyo wako hauna uvumilivu, wengine tulikomaa hadi mwisho maana mbali na kupenda timu pia tuliiwekea dhamana kwenye makampuni ya kubetMkuu ulikosa uhondo, the game was tough but beautiful, ila hii hutokea nakumbuka hata mimi nishawahi kuondoka kwenda kulala kipindi kile Bayern Munich alipotufunga 7 ile mechi ya marudiano pale Nou Camp sikuimaliza nlisepa baada ya kuona hamna namna tungeweza kuepuka kipigoWhat a comeback, nilijua tushapigwa nikajilalia
HahhhaMoyo wako hauna uvumilivu, wengine tulikomaa hadi mwisho maana mbali na kupenda timu pia tuliiwekea dhamana kwenye makampuni ya kubet
Moyo wako hauna uvumilivu, wengine tulikomaa hadi mwisho maana mbali na kupenda timu pia tuliiwekea dhamana kwenye makampuni ya kubet
Mkuu ulikosa uhondo, the game was tough but beautiful, ila hii hutokea nakumbuka hata mimi nishawahi kuondoka kwenda kulala kipindi kile Bayern Munich alipotufunga 7 ile mechi ya marudiano pale Nou Camp sikuimaliza nlisepa baada ya kuona hamna namna tungeweza kuepuka kipigo
Kwa kikosi tulichonacho tunaweza, sema defence line ina commit makosa mengi mno, kama jana kuna kipindi ilkuwa inakatika balaa.Haibu ya kupigwa na katimu Kadogo sikutaka inikute,,, roho inauma haha...
Naikumbuka ile ya psg niliangalia hadi dakika ya mwisho, sensational.
Hutu tu timu ilitakiwa tuwe tunavipiga 5, 6 tukibanwa sana 4
Duuhh vijana manabet kweli, sisi wazee ezi zetu havikuwepo vitu kama hivi. Na sasa tunaogopa kujiingiza huko tusije poteza pesa za ugali wa watotoMoyo wako hauna uvumilivu, wengine tulikomaa hadi mwisho maana mbali na kupenda timu pia tuliiwekea dhamana kwenye makampuni ya kubet
Na ndiye aliyekuwa chanzo cha goli la pili barca kufungwaKati wote anayestail kupewa hongera game ya Jana ni Gerard Pique aka Baba shakhira .
Timu ilikua inacheza kwa kuridhika sana hawajitumi.
Baada ya hapo Pique aliamua kupanda kushambulia mwenyewe ndo timu ikahamka kuaza kulisakama lango la wapinzani. Pique hadi akamtengea kwa kichwa Dembele, kisha Dembele katumbukiza nyavuni.
Kwangu Mimi anayestaili kupewa hongera ni Pique kwa kuonesha ule uzalendo wa kuipigania Beji ya Barcelona. Natamani nishuhudie siku moja Pique awe Raisi wa Barca.
Superfine analysis MkuuDembele ana matatizo yake lakini goli analijua. Hua ana shots za kibabe sana!
Bado najiuliza kati ya cross ya Roberto na ile ya Rakitic ipi kali.
Tatizo letu leo lilikua ni muunganiko wa midfield na front line.
Tumemiliki mpira 70% most of the time, ila tukaambulia shuti moja tu on target kwa kipindi cha kwanza.
Sioni umuhimu wa Rafinha kuanza, badala yake Semedo apewe shavu la kulia ili Roberto afanye kazi ya kuiunganisha team mpaka Nabii akiwa fiti kurudi uwanjani.
Nafikiri Suarez amehisi Paco Alcacer anaivizia nafasi yake. He's back on fierceness!
Suarez is back with the goals... 9 goals top of the table.
Mkuu na kweli ukishaingia huku hukawii kupoteza pesa za ugali wa watoto kama usemavyo, pabaya sana huku na kutoka ni mtihaniDuuhh vijana manabet kweli, sisi wazee ezi zetu havikuwepo vitu kama hivi. Na sasa tunaogopa kujiingiza huko tusije poteza pesa za ugali wa watoto
Hahaaaa hatari sanaMkuu na kweli ukishaingia huku hukawii kupoteza pesa za ugali wa watoto kama usemavyo, pabaya sana huku na kutoka ni mtihani