Duh! Ata hii sare naitamani sasaHii game ya kushinda kweli lakini bila kufanya jitihada tutaishia kutoa sale, jamaa wanatukabia juu sana inakua ngumu kuutoa mpira kwenye zone yetu, pia tukifanikiwa kufika kwao mipango inakua butu sana.....
Hawa wachezaji wa Ososuna wamevishwa jezi za BarcaTunanyanyasika kinoma.
Anaharibu sana leoHadi Biskuti leo kawa hovyo kabisa
Osasuna wametokea wapi tena hapa mkuuHawa wachezaji wa Ososuna wamevishwa jezi za Barca
Kwani hii biskuti imetoka wapi?Hadi Biskuti leo kawa hovyo kabisa
Siyo kujitenga tu hata cross anazotoa ni kama za mtu anaechezea sijui team gani huko. Labda kina Yeovil TownDembele nae anajitenga sana
Hatari sana, siku ya kufa miti nyani wote huteleza. Valvede ajiangalie sana huenda akafukuzwaSiyo kujitenga tu hata cross anazotoa ni kama za mtu anaechezea sijui team gani huko. Labda kina Yeovil Town