Dembele ana matatizo yake lakini goli analijua. Hua ana shots za kibabe sana!
Bado najiuliza kati ya cross ya Roberto na ile ya Rakitic ipi kali.
Tatizo letu leo lilikua ni muunganiko wa midfield na front line.
Tumemiliki mpira 70% most of the time, ila tukaambulia shuti moja tu on target kwa kipindi cha kwanza.
Sioni umuhimu wa Rafinha kuanza, badala yake Semedo apewe shavu la kulia ili Roberto afanye kazi ya kuiunganisha team mpaka Nabii akiwa fiti kurudi uwanjani.
Nafikiri Suarez amehisi Paco Alcacer anaivizia nafasi yake. He's back on fierceness!