Game plan ya wapinzani inachangia.... wale wa ligi walikua wanafunguka na wao wanaucheza na kutukabia juu, hawa wa leo wanaruhusu tucheze wao wana defense tu wakitegemea zile kauntahawa barca bana sasa ile match iliyopita ya la liga mbona hawakuonyesha mkeka kama huu wa leo
Namna gani paleeeeee!!!?Namna gani pale!!?
Mkuu dembele anawork vizuri na Semedo. Wakiwasha speed kule kulia moto unawaka. Inabidi tukubali kuwa silaha kubwa ya Dembele ni Spidi na anahitaji space kubwa kuoperate. Mtindo wetu wa kubana pasi za hapa na hapa hautakuja kumfaa. Dembele angeenda timu kama RM angewafaa sana.Coutinho naona game imemkubali ila apunguze kuzinguka Kama mshale wa saa, Dembele bado simuelewi kabisa
Asante kwa mchanganuo mkuuMkuu dembele anawork vizuri na Semedo. Wakiwasha speed kule kulia moto unawaka. Inabidi tukubali kuwa silaha kubwa ya Dembele ni Spidi na anahitaji space kubwa kuoperate. Mtindo wetu wa kubana pasi za hapa na hapa hautakuja kumfaa. Dembele angeenda timu kama RM angewafaa sana.
Sijui kachoka. Ukiona anainama anashika magoti ujue pumzi inashida.Huyu Suares anaanguka anguka nini leo?