Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,109
- 1,249,102
Hahahaha hunitakii mema weuwee
Basi ukipata bando la kutosha uziweke ata siku nyingine sio mbaya...
Basi ukipata bando la kutosha uziweke ata siku nyingine sio mbaya...
Hawawezi kuingia wote uwanjani watapishana tu mkuu
Emu rudia tena Mkuu, sijasikiaReal madrid or draw.
KinomaaaaaaHii mechi na ile ya INTER tumeupiga mwingi
Nimeona mkuu lakini kama nilivyosema baada ya kupishana, Vidal kama unavyomjua game za presha hakawii kula umeme, kocha kamuingiza muda sahihi kabisa....Mkuu, nafikiri umeiona kazi ya Vidal.
Kama ulikuwepo Mkuu. Shukurani sana,Jf barca fans nawasalimu wote kwa upendo mkubwa. Nawatakia ushindi mnono. Sijapita hapa siku nyingi.
Usilete ujinga wako tena siku nyingineReal madrid or draw.
Angelikuwepo The king wangekula 20Hahaha noma sana wakuuu ....
Hapo king ajacheza, wangekufa tisa leo...
Pamoja na hayo Arthur Melo ni machine nyingineMkuu, nafikiri umeiona kazi ya Vidal.
Ni zaidi ya machine mkuu ..anamwaga maji so kitoto..Pamoja na hayo Arthur Melo ni machine nyingine
Wengi tulitia shaka sana juu ya huyu Arthur Melo. Mara mzito, mara sijui hafiti kwenye mfumo wa Barca, yaani 7bu kibao!!! Games zote alizocheza kasimama imara.Melo buana!!!!?





Hahahahahahahaha hahahaAngelikuwepo The king wangekula 20
5 toa penati (ya kubebwa) = ??????wazee wa kubebwa mpo?!?!?