GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,362
- 5,606
Tumeshinda lkn sijavutiwa sana na mchezo wao. Mfumo bado haupo vzr kwa baadhi ya wachezaji, mfano Dembele na Coutinho kuzecha kwa pamoja bado hawaelewani vzr, nadhani kocha inabidi ajaribu siku moja kumuweka bench wacheze mbele pale Coutinho Messi DembeleAisee Barcelona sio poa kabisa sasa hawa si walikua wanaiadhibu hata goli kama 10 hivi..
Sent using Jamii Forums mobile app
assits