wazeia, defence ni tatizo kubwa tulilonalo. Haiwezekani tunafungwa magoli rahisi namna hiyo wakuu.Oyooo
Tune on game on tunaendeleza hivi..
Mkuu tulia we utafurahi na roho yako,,,Msimu huu mbona maumivu tuNilikua nimemis sherehe kama hii pale Camp Nou!
- KANA -
7-2ngap ngap wadau u
Mkuu sub wakupigwa ni Suarez halafu kushoto akae Coutinho pale, kulia aende Dembele kt aende Messi. Barca hii itakuwa moto sanaTeacher inabidi ampige sub mapema Dembele tumjaribie Malcom kule left flank
Haiwezekani kuwe butu kama last season ,hadi amsha aje atoe Jordi Alba
Mkuu Mimi Barca fan na sio kwamba nasema vibaya kuhusu Messi, hapana. Ninachokiona ni mfumo mzima wa La liga kukosa mvuto kutokana na kwamba uwepo wa CR7 ulileta hamasa fulani ambayo ilifanya hata Laliga kupata uwekezaji mkubwa ..lakini sasa hata ukifuatilia investment ndani ya Laliga imepungua sana kutokana na Cr7 kusepa.Dunia imemfahamu his majesty Leonel Andres Messi wakati Ronaldo bado anahangaika old trafford.
Hajawahi kuhitaji mvuto wa mtu mwingine, na haitokaa itokee ategemee mvuto wa mwanasoka mwingine!
Kelele kama hizi tulizisikia wakati Xavi anastaafu, zimesikika wakati Iniesta anastaafu pia. Messi bado ni yule yule mwanadamu wa ajabu mwenye kutenda miujiza ya soka pale Camp Nou (The football Cathedral).
Stay calm, and watch Messi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni barca fan tangu kipindi cha akina Gurdiola wanakipiga mkuuInaonekana umeanza kuishabikia mpira Neymoney alipojiunga Barcelona
The rise of Messi msimu wa 2008/2009 ndio ilipelekea hadi Penaldo ahame ligi amafuate King Leo kule Laliga na ameendelea kuwa kweny kivuli hadi anaondoka kwenda juve
Nina mashaka na wewe ... nenda ukapende Juventus laliga ndio league bora ulaya :no doubt team bora zote zinatoka pale (UEFA,Europa na miaka michache iliyopita hadi Spain national team)Mkuu Mimi Barca fan na sio kwamba nasema vibaya kuhusu Messi, hapana. Ninachokiona ni mfumo mzima wa La liga kukosa mvuto kutokana na kwamba uwepo wa CR7 ulileta hamasa fulani ambayo ilifanya hata Laliga kupata uwekezaji mkubwa ..lakini sasa hata ukifuatilia investment ndani ya Laliga imepungua sana kutokana na Cr7 kusepa.
Na hapo mtu kama Messi ambaye ukimtaja kwa Karib mtu anayelingana naye ni Cr7.
Sasa Messi atabaki mwenyewe bila kuwa na mtu wa kariba yake na hapo ndo ubora wa Laliga utakapo anza kupotea.
Wewe mwenyewe ni shahidi na huo ndo ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app