FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kazi imeanza
1535654491345.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 1535654491345.jpg
    1535654491345.jpg
    73.5 KB · Views: 27
Liverpool na Tottenham zimepangwa katika makundi ya kifo katika upangaji wa makundi huku Manchester United ikitupwa kwa Ronaldo.

Katika upangaji huo wa ratiba ya hatua ya makundi uliofanyika Monaco, Spurs imepangwa kundi B ikiwa pamoja na Barcelona, PSV na Inter Milan.

Liverpool iliyocheza fainali msimu uliopita ipengwa kundi C pamoja na mataji wa PSG, Napoli na Red Stars

Manchester United watakutana na nyota wao wa zamani Cristiano Ronaldo baada ya kupangwa na mabingwa wa Serie A, Juventus.

Ronaldo, ambaye alichezea Man United kati ya 2003 na 2009, amejiunga na Juve kwa gharama ya pauni 99.2milioni Julai baada ya kucheza kwa miaka tisa Real Madrid.

Wapinzani wao wengine ni Valencia na Young Boys katika Kundi Group H.

Mabingwa wa England, Manchester City wametupwa Kundi F, pamoja na Shakhtar Donetsk, Lyon na Hoffenheim.

Mabingwa watetezi Real Madrid, wamepewa kundi rahisi wakiwa Kundi G pamoja na Roma, CSKA Moscow na Viktoria Plzen.

Makundi

Kundi A: Atletico Madrid, Dortmund, Monaco, Club Brugge

Kundi B: Barcelona, TOTTENHAM, PSV, Inter Milan

Kundi C: PSG, Napoli, LIVERPOOL, Red Star Belgrade

Kundi D: Lokomotiv Moscow, Porto, Schalke, Galatasararay

Kundi E: Bayern Munich, Benfica, Ajax, AEK Athens

Kundi F: MAN CITY, Shakhtar, Lyon, Hoffenheim

Kundi G: Real Madrid, Roma, CSKA Moscow, Viktoria Plzen

Kundi H: Juventus, MAN UTD, Valencia, Young Boys
 
Its a match day....Barcelona vs Huesca
Camp Nou saa moja na nusu usiku

Tip of the day:namuonea huruma sana Ronaldo kile choo alichoingia ;nimemfuatilia hizi match mbili yaani daaah ukiniambia nichague yeye na Quadrado bila wasiwasi kabisa namchukua Quadrado ambaye ana offer alot in the field ,huyu bwana mkubwa siku hizi hata kumpiga chenga mchezaji mmoja hawezi namuhurumia acha media ziendelee kumbeba ndio maana makocha wapenda mpira wote they go straight and saying Messiiii.........no wonder Madrid na Benzema wana perform vizuri without him what he was doing is selfishness in the field and overlapping other players positions

Welcome Camp Nou mambo tutakayoyafanya leo hadi shetani ataogopa
 
Its a match day....Barcelona vs Huesca
Camp Nou saa moja na nusu usiku

Tip of the day:namuonea huruma sana Ronaldo kile choo alichoingia ;nimemfuatilia hizi match mbili yaani daaah ukiniambia nichague yeye na Quadrado bila wasiwasi kabisa namchukua Quadrado ambaye ana offer alot in the field ,huyu bwana mkubwa siku hizi hata kumpiga chenga mchezaji mmoja hawezi namuhurumia acha media ziendelee kumbeba ndio maana makocha wapenda mpira wote they go straight and saying Messiiii.........no wonder Madrid na Benzema wana perform vizuri without him what he was doing is selfishness in the field and overlapping other players positions

Welcome Camp Nou mambo tutakayoyafanya leo hadi shetani ataogopa
Mkuu cr akupi usingizi ?
Sifa ya mwnaume kusaka maisha popote
Ndo maana hata wewe ulitoka kwa wazazi
Cr7 kaaso toka mbali ndio nacho mkubali
 
Its a match day....Barcelona vs Huesca
Camp Nou saa moja na nusu usiku

Tip of the day:namuonea huruma sana Ronaldo kile choo alichoingia ;nimemfuatilia hizi match mbili yaani daaah ukiniambia nichague yeye na Quadrado bila wasiwasi kabisa namchukua Quadrado ambaye ana offer alot in the field ,huyu bwana mkubwa siku hizi hata kumpiga chenga mchezaji mmoja hawezi namuhurumia acha media ziendelee kumbeba ndio maana makocha wapenda mpira wote they go straight and saying Messiiii.........no wonder Madrid na Benzema wana perform vizuri without him what he was doing is selfishness in the field and overlapping other players positions

Welcome Camp Nou mambo tutakayoyafanya leo hadi shetani ataogopa
Yeah! Ronado ana-struggle sana. Tuseme tu ukweli kwamba "mfumo mpya + umri alionao sasa" ndivyo vinamgarimu hivi sasa. I bet kwamba hata akirudi kwenye form sidhani kama atakuwa kwenye peak ya juu kama jinsi ambavyo alipokuwa Madrid.

Namshangaa sana kulaumu ushindi wa " Luka Modric"/kuwa Mchezaji bora wa Uefa (Uefa Men's player of the year, 2017/18). Anavyo struggle sasa, ndiyo atambue kwamba mabao aliyokuwa akifunga kwa kuvizia vizia yalitokana na wachezaji wengine akiwemo Modric. Hivyo, alitakiwa tu kuhudhuria (alisusia) na kufurahia ushindi wa mchezaji mwenzie wa zamani.

Nasikia kocha wa Juve jana kabla ya mchezo wao na Parma alisema. "Ronaldo anahasira na kwamba kachukua sana zawadi ya mchezaji bora wa Uefa kupewa mchazaji mwingine, hivyo naimani atafanya vizuri zaidi kuonyesha uwezo wake hapa" mwisho wa kunukuu.

Ngoja tuone!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah! Ronado ana-struggle sana. Tuseme tu ukweli kwamba "mfumo mpya + umri alionao sasa" ndivyo vinamgarimu hivi sasa. I bet kwamba hata akirudi kwenye form sidhani kama atakuwa kwenye peak ya juu kama jinsi ambavyo alipokuwa Madrid.

Namshangaa sana kulaumu ushindi wa " Luka Modric"/kuwa Mchezaji bora wa Uefa (Uefa Men's player of the year, 2017/18). Anavyo struggle sasa, ndiyo atambue kwamba mabao aliyokuwa akifunga kwa kuvizia vizia yalitokana na wachezaji wengine akiwemo Modric. Hivyo, alitakiwa tu kuhudhuria (alisusia) na kufurahia ushindi wa mchezaji mwenzie wa zamani.

Nasikia kocha wa Juve jana kabla ya mchezo wao na Parma alisema. "Ronaldo anahasira na kwamba kachukua sana zawadi ya mchezaji bora wa Uefa kupewa mchazaji mwingine, hivyo naimani atafanya vizuri zaidi kuonyesha uwezo wake hapa" mwisho wa kunukuu.

Ngoja tuone!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ronaldo ni selfish guy ,he is so obssessed with individual award kule alikoelekea ni shimoni hizo ni salam tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom