FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Sioni cha ziada alicho nacho Thiago ambacho wachezai waliopo kwa sasa hawana. Mwakani anakija Puigi Riqui huyu mtamsahau
Dembele huwa anacheeka sana anasema akimuona puig alivyo na kaumbo kadogo afu anang'ang'ana kupiga zile Penetration pass zake kwa manjemba yenye mwili huwa hana mbavu kwa kucheka ila anakiri wazi kabisa kwamba dogo anajua kuboss midfield kwa level ya world class. Very tactical and full of technicality na zile flexibility zake kama za Iniesta.
 
Dembele huwa anacheeka sana anasema akimuona puig alivyo na kaumbo kadogo afu anang'ang'ana kupiga zile Penetration pass zake kwa manjemba yenye mwili huwa hana mbavu kwa kucheka ila anakiri wazi kabisa kwamba dogo anajua kuboss midfield kwa level ya world class. Very tactical and full of technicality na zile flexibility zake kama za Iniesta.
Good
 
Barca XI 15/09/2018
IMG_20180915_160208.jpg
 
Maandalizi ya Uefa yameanza leo
Busquets ataanzia bench kwa ajili ya special matches za Uefa

Semedo na S.Roberto watacheza dimba moja leo

Coutinho anapata charge baada ya international break -misuli inapoa kwa ajili ya Uefa pia
Artulo vidal na Lenglet bila kumsahau Arthur Melo bado wanaendelea kuisoma Barcelona styles ila kuna 100% Artulo vidal akaingia dakika 20 -30 za mwisho
Hii leo tunacheza match ni Anoeta dimba ambalo ni gumu sana kwetu ila velverde na term ya mwisho ya Lous Enrique walishalowesha maji huu mkate

Dembele bado anajengwa kisaikolojia ili ajiamini zaidi (for me ndio tatizo lake kubwa la ku cope ingawa age yake pia inachangia)

Anoeta we go El pisterelo baada ya kutupia goli mbili akiwa na Uruguay bado batri zinaendelea ku charge

King of Football Messi ameamua kujipumzisha kidogo national team huku akiwa na advantage ya kuendelea kua na hasira ya kutwaa Uefa
This is Barca
Me's cue en club
 
Maandalizi ya Uefa yameanza leo
Busquets ataanzia bench kwa ajili ya special matches za Uefa

Semedo na S.Roberto watacheza dimba moja leo

Coutinho anapata charge baada ya international break -misuli inapoa kwa ajili ya Uefa pia
Artulo vidal na Lenglet bila kumsahau Arthur Melo bado wanaendelea kuisoma Barcelona styles ila kuna 100% Artulo vidal akaingia dakika 20 -30 za mwisho
Hii leo tunacheza match ni Anoeta dimba ambalo ni gumu sana kwetu ila velverde na term ya mwisho ya Lous Enrique walishalowesha maji huu mkate

Dembele bado anajengwa kisaikolojia ili ajiamini zaidi (for me ndio tatizo lake kubwa la ku cope ingawa age yake pia inachangia)

Anoeta we go El pisterelo baada ya kutupia goli mbili akiwa na Uruguay bado batri zinaendelea ku charge

King of Football Messi ameamua kujipumzisha kidogo national team huku akiwa na advantage ya kuendelea kua na hasira ya kutwaa Uefa
This is Barca
Me's cue en club
Lkn hawa madogo huwa wanatukamia sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom