HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,880
- 5,879
Hapa ndio unauona umuhimu wa Jecha, sasa kwa hali kama hizi unafikiri kwanini ukatae uwepo wa Jecha. Halafu hawa marefaa wa siku hizi mbona hawaijali timu yetu kabisa?
😀😱😛😛😀😛😛Huyu inabidi apewe shamba la viazi alime...maana na yeye kawa kimeo siku hizi...
Winger ni winger tu mkuu... Okey fine, sio wa kushoto!! Basi mpeleke messi kushoto na dembele acheze kulia alafu suarez abaki kati peke yake kama mlivyokua mnafanya kabla neymar hajaondoka!!Sina uhakika na ulichokijibu kama kinahusiana na kilichoandikwa, nimezungumzia winga ya kishoto na sio ya kulia. Nadhani walau umeanza kunielewa.
Mkuu Tatzo ni mildifield. Hil ndio tatzo kubwa sana Barcelona..viungo tulio nao wote ni wazee..I mean tunatakiwa kufanya overhaul ya viungo..tatzo hil uongoz hata haushituk.. Pia kocha wetu ni tatzo lingne..huwez kuongoza goal 4-1 ukaja kufa 3-0.. Aibu kubwa sana kwa barca..
OngeraUtashangaa leo AS Roma anaibuka kidedea na ushindi wa goli tano bila hoo. Wataliano leo lazima wachane mikeka ya watu.
Mkutane na nani...?Tukutane nusu fainali/Fainali. Then hii kauli yako ndiyo utajuwa inamfaa nani msimu huu.
Muosha huoshwa. Nyie msimu uliopita PSG waliwachapa 4 bila kwao kisha mkawatoa kwa magoli 6 kwenu...huwez kuongoza goal 4-1 ukaja kufa 3-0.. Aibu kubwa sana kwa barca..
King mmoja tu, yuko Santiago. Jiandae baadae kumshuhudia maajabu yake.Nimeamini kuwa tuna maadui wengi sana sisi barca, hakuna noma kuna watu sijawahi waona ila wamekuja kwaajili ya downfall yetu na king of kings,, alien being "messi"
VISCA BARCA