FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Yaani Leo Gomez kazomewa na mashabiki wa barca vibaya na bahati mbaya akatokea Dennis kwenye big screen watu wakapiga bonge la shangwe.

Alba akamtetea hivi!
870a51f4666bc2b604ac29841c4edbd0.jpg
 
Toka kuondoka kwa Neymar,Barca imepoteza ability ya devastating counter attack- Velverde inabidi am groom Dembele kwa role hiyo. All in all match ya leo ilikuwa ngumu-3 points in the bag could be crucial come the end
 
Shida siyo gape man angalia Inesta kapata majeraha nadhani kocha ndiyo atamtumia Gomez badala ya Denis
analazimisha Coutinho na iniesta wote wacheze. ona Sasa tutakutana na chelsea bila iniesta. midfiel ya rakitic, busketi na coutinho ndiyo tungeendelea nayo kwenye ligi iniesta angekipiga UCL. kocha huyu naye!!?
 
Watu wanalalamika ushindi finyu ila kiuhalisia Atletico ana defense nzuri sana, mbona hatulalamiki kumpiga Girona 6? Kocha alikuwa Luis Enrique au huyuhuyu?

Atletico wazuri.
Mkuu Barca ya saizi kuna kitu inakosa, na kitu chenyewe ni kuwa pale mbele ina watu wachache sana, kutokana na kuwa viungo wengi sana. Pia haiko fasta kutoa pass. In short hawana speed
 
Toka kuondoka kwa Neymar,Barca imepoteza ability ya devastating counter attack- Velverde inabidi am groom Dembele kwa role hiyo. All in all match ya leo ilikuwa ngumu-3 points in the bag could be crucial come the end
Huyu kocha anapata shida sana kupanga kikosi na yuko so rigid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom