Hahaaaaaaa mm nilidhani ndio mda wa Dembele kuingia paleKocha kamweka Gomez
Hivi Huyu Valvede anahisa kwa Gomez?
shikamoo alhajj lionel messi kwa kuendeleza tabia yako ya kufukuza mwizi kimya kimya, kama sikosei hili ni goli la tatu mfululizo kufunga kwa free kick.
aigooooo imefika wakati wapinzani wanatamani messi apige penalty kuliko free kick.
![]()
picha hii haina uhusiano wowote na nilichokiandika huenda babu yangu amedukuwa account yangu ya JF.
Mkuu Rakitic ni nguzo kubwa mno, kocha kazingua kumwingiza huyu bwege badala ya Dembelei hope Rakitic atapumzika ili Dembele aupige mda fulani.
Mkuu Rakitic ni nguzo kubwa mno, kocha kazingua kumwingiza huyu bwege badala ya Dembele
shikamoo alhajj lionel messi kwa kuendeleza tabia yako ya kufukuza mwizi kimya kimya, kama sikosei hili ni goli la tatu mfululizo kufunga kwa free kick.
aigooooo imefika wakati wapinzani wanatamani messi apige penalty kuliko free kick.
![]()
picha hii haina uhusiano wowote na nilichokiandika huenda babu yangu amedukuwa account yangu ya JF.
Rakitic akitoka mmmh kati tumekwisha bora kocha atoe ilo dudee lake amweke dembeleMkuu Rakitic ni nguzo kubwa mno, kocha kazingua kumwingiza huyu bwege badala ya Dembele
Hata mm siafiki kabisa kutoka kwa RakiticRakitic akitoka mmmh kati tumekwisha bora kocha atoe ilo dudee lake amweke dembele