FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Wakuu mie sijui nikoje yan akili yangu inakataa kabisa kuamini eti Atletic madrid ndo wapinzani wetu wa kombe la ligi kuu. Yan mie sina presha nao kabisa kama ilivokua kwa Valencia, mi naamini tutachukua ubingwa mapema na nafasi ya pili atakaa tu Real madrid. Hao kina Atletic madrid, valencia, sevilla wote watarudi nafasi zao.
 
Moja kati ya wachezaji ambao ni wapumbavu na mpaka sasa wanajuta kwa maamuzi yao ni Neymar, kuondoka Barca ambayo unacheza na Messi na kwenda timu kama PSG ambapo kuonekana mpka UEFA unahitaji kuwa na akili chafu kama za polic wa chama cha map.....
Wenyewe wanasema eti ni mlango wa yeye kwenda kwa Madrid.
 
Ktk kikosi hiki watachaguliwa wa chezaji 11 watakao cheza leo saa 23:00 hrs View attachment 703186
Yerry Mina yuko wapi wakuu, kiukweli mie namhusudu sana uyo jamaa kuna match alianza alicheza dakika 90 alijitahidi mno. Naamini akikaa na Umtiti tutatengeneza defense moja matata sana ya baadae mana wote wana umri mdogo. Nadhani tumpe uzoefu kwa sasa.
 
Yerry Mina yuko wapi wakuu, kiukweli mie namhusudu sana uyo jamaa kuna match alianza alicheza dakika 90 alijitahidi mno. Naamini akikaa na Umtiti tutatengeneza defense moja matata sana ya baadae mana wote wana umri mdogo. Nadhani tumpe uzoefu kwa sasa.
Valvede sometimes anazingua kinoma
 
Barca XI tonight
bb3b6d893d6c9a712b4db02531f0c171.jpg
 
Yuko Inter milan kwa mkopo ila kwa Barcelona ya sasa hivi hana nafasi, unadhani atamweka nani benchi kwenye First Eleven ya kina Coutinho, Dembele, Suarez, Messi, Raktic, Busquets?
ila kuwa na sub kama ile saaf sana inaleta upana wa kikosi me nilikuwa namuelewa sana yule jamaa tatzo majeruh yanamkost
 
Hata hamu imeniisha kiukweli kuangalia match
Huyu Vidal mi naonaga heri acheze beki mbili alafu Sergi Roberto acheze juu yake. Sijajua maana ya kocha ila mda mwingine mi naona tunamshusha kiwango Sergi Roberto kuchezeshwa number 2 kila siku akati match kama hii ad Vidal anaanza lakini still anacheza beki mbili uku uyu kichaa anapewa no.7
 
Huyu Vidal mi naonaga heri acheze beki mbili alafu Sergi Roberto acheze juu yake. Sijajua maana ya kocha ila mda mwingine mi naona tunamshusha kiwango Sergi Roberto kuchezeshwa number 2 kila siku akati match kama hii ad Vidal anaanza lakini still anacheza beki mbili uku uyu kichaa anapewa no.7
Yaaani huyu jamaa mm naona hata kaa sana, hawa akina polinho, Vidal + Gomez
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom