FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Huyu Neymar kwani ana matatizo gani wakuu?
Neymar alijua pengo lake halitazibika sasa anaona moto anaouwasha Coutinho roho inamuuma ndani kwa ndani. Magoli anayofunga Coutinho vile anavozungushaga mpira akiwa nje ya kumi na nane, Neymar ata acheze uchi wa mnyama hawezi funga mkuu. Barca hatukua na watu wa kupiga mashuti nje ya box lakini sasa tumepata mtu sahihi.
 
Wakuu hivi ikitokea laliga all stars Vs Epl all stars Nani atakufa hapo
Unadhani kuna kikosi duniani kinaweza kuwazuia Antonie Griezman, Messi na Ronaldo wakikaa pale mbele?
Unadhani kuna viungo duniani wanaweza kuwa dominate Busquets, Modric na Coutinho wakikaa pale kati?
Unadhani kuna forward yoyote duniani itapata wakati rahisi wakikaa Semedo, Marcelo, Umtiti/Ramos na Pique pale nyuma.
 
habari mbaya kabisa. wale mambwiga ilitakiwa tuwe tunawapelekea moto pande zote. lets hope Roberto na dembele wastep up.
Uzuri kwa upande wa beki wa kulia akiwepo Semedo pananoga ila ata akiwepo Sergi Roberto nae anakiwasha sana. Wote wanashambulia vizuri, Semedo anashambulia sana kupitia kulia uku Roberto anashambulia sana kupitia katikati ya uwanja. Na uwepo na Dembele kulia siku iyo naamini Alonso hawezi kupanda kama alivokua anapanda mbele anavotaka siku ile.
 
Moja kati ya wachezaji ambao ni wapumbavu na mpaka sasa wanajuta kwa maamuzi yao ni Neymar, kuondoka Barca ambayo unacheza na Messi na kwenda timu kama PSG ambapo kuonekana mpka UEFA unahitaji kuwa na akili chafu kama za polic wa chama cha map.....
 
Neymar alijua pengo lake halitazibika sasa anaona moto anaouwasha Coutinho roho inamuuma ndani kwa ndani. Magoli anayofunga Coutinho vile anavozungushaga mpira akiwa nje ya kumi na nane, Neymar ata acheze uchi wa mnyama hawezi funga mkuu. Barca hatukua na watu wa kupiga mashuti nje ya box lakini sasa tumepata mtu sahihi.
Hahahahahahahahahaha yale magoli ya Coutinho sijui kafundwa na nani, bado naifikieia El Classico ambayo Coutinho atakuwa dimbani.
 
eb7810dd3508080bedf24c819787b917.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom