Karibu sisi tupo mda mrefu mkuu, karibu kwenye kijiwe cha barcaWazeee nipooo
Match ya Asernal na Man city naangalia tu dakika 15 then naenda home....gameKaribu sisi tupo mda mrefu mkuu, karibu kwenye kijiwe cha barca
Wenger atatoa draw leoMatch ya Asernal na Man city naangalia tu dakika 15 then naenda home....game
Kocha kadharau hii game sasa tusiposhinda vizuri kocha atakua na majibuHata hamu imeniisha kiukweli kuangalia match
Sub wapo Coutinho, Dembele, Pique, alcacer nk. siyo mbaya maana jpili tuna mechi ngumu na hawawa palmas wako kwenye kushuka daraja. ni chance ya hawa watu nao kucheza mambo yakibana wanaingia kuokoa jahazi japo si rahisi watubane.Hata hamu imeniisha kiukweli kuangalia match
Ni kama mimi mkuu,Hata hamu imeniisha kiukweli kuangalia match
Point ni 3 kila match, tunaweza kutoa draw leo halafu tukashindwa kuwafunga atleticoSub wapo Coutinho, Dembele, Pique, alcacer nk. siyo mbaya maana jpili tuna mechi ngumu na hawawa palmas wako kwenye kushuka daraja. ni chance ya hawa watu nao kucheza mambo yakibana wanaingia kuokoa jahazi japo si rahisi watubane.
kwenye winger nafikiri vidal yuko poa kuliko Roberto maana ana spidi sana sema creativity ndiyo tena. Roberto avumilie kidogo atachukua nafasi ya rakitic RCMHuyu Vidal mi naonaga heri acheze beki mbili alafu Sergi Roberto acheze juu yake. Sijajua maana ya kocha ila mda mwingine mi naona tunamshusha kiwango Sergi Roberto kuchezeshwa number 2 kila siku akati match kama hii ad Vidal anaanza lakini still anacheza beki mbili uku uyu kichaa anapewa no.7
Mkuu unasema Vidal ana speed kuliko Sergi Roberto?kwenye winger nafikiri vidal yuko poa kuliko Roberto maana ana spidi sana sema creativity ndiyo tena. Roberto avumilie kidogo atachukua nafasi ya rakitic RCM
yeah. mojaya sifa kubwa ya vidal ni speed mkuu.Mkuu unasema Vidal ana speed kuliko Sergi Roberto?
Lkn ningependa kumuona Dembele ili apate kujiaminiNawapenda las palmas hawakabi sana
Do not interrupt your enemy when is making a mistake -If you know what i mean![]()
Nadhani second half Vidal atatolewa ili aingieLkn ningependa kumuona Dembele ili apate kujiamini