FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

yeah. mojaya sifa kubwa ya vidal ni speed mkuu.
Hhahaha una utani mkuu, Vidal anamzidi speed Sergi Roberto hahaa huwezi ukawa serious mkuu. Nakukumbusha event moja angalia ile match na Madrid ile Messi anashinda bao la ushindi kwa pasi ya Alba dakika za majeruhi uangalie Roberto alivomtoa nduki MARCELO ad akasimama kwa kichomi kabla hajasababisha goli. Vidal hamuwezi Roberto kwa speed, stamina, control yan kwa vyote labda kunyoa kipara na kufuga ndevu
 
Hhahaha una utani mkuu, Vidal anamzidi speed Sergi Roberto hahaa huwezi ukawa serious mkuu. Nakukumbusha event moja angalia ile match na Madrid ile Messi anashinda bao la ushindi kwa pasi ya Alba dakika za majeruhi uangalie Roberto alivomtoa nduki MARCELO ad akasimama kwa kichomi kabla hajasababisha goli. Vidal hamuwezi Roberto kwa speed, stamina, control yan kwa vyote labda kunyoa kipara na kufuga ndevu
naikumbuka ile Modric anaanguka marcelo anakimbiza kifua katanguliza mbele. ila kwa spidi mkuu hawa wakina vidal niwatu wanaofikisha. 33 au 34km/h sevilla alikuwa winger winger inahitaji speed. amekosa tu akili ya mpira. Roberto kinachomuangusha ni spidi ndiyo maana hawezi kucheza fullback kama ya kina Alba au Semedo.
 
Hhahaha una utani mkuu, Vidal anamzidi speed Sergi Roberto hahaa huwezi ukawa serious mkuu. Nakukumbusha event moja angalia ile match na Madrid ile Messi anashinda bao la ushindi kwa pasi ya Alba dakika za majeruhi uangalie Roberto alivomtoa nduki MARCELO ad akasimama kwa kichomi kabla hajasababisha goli. Vidal hamuwezi Roberto kwa speed, stamina, control yan kwa vyote labda kunyoa kipara na kufuga ndevu
Hata ile remontada ya PSG kwenye uefa Roberto statistics zilikuwa zinaonyesha Roberto ndio alikimbia umbali mrefu zaidi kuliko mchezaji yeyote yule. Yaani alikimbia kutoka hapa hadi Kinyerezi.

Bado he is regarded as very versatile and fastest sprinter in Barcelona.
 
Meanwhile kwa kibabu mashabiki wanaongeza stress and depression.

Dogo akigugumia umivu.
2d41f1aaf195a54e4bb4278efce9f3f4.jpg
 
Idadi ya magoli hairidhishi hadi sasa hv mnaoangalia hii game tatizo nini mana timu yenyewe Las palmas?
 
Hata ile remontada ya PSG kwenye uefa Roberto statistics zilikuwa zinaonyesha Roberto ndio alikimbia umbali mrefu zaidi kuliko mchezaji yeyote yule. Yaani alikimbia kutoka hapa hadi Kinyerezi.
distance na spidi ni tofauti mkuu. Roberto akipanda halafu mkapigwa kaunta hesabuni maumivu. hana yale maspidi ya kina Vidal. vidal majeruhi nayo yanamrostisha. ila kwa akili ya mpira Roberto ni mzuri kwa mbali sana.
 
Meanwhile kwa kibabu mashabiki wanaongeza stress and depression.

Dogo akigugumia umivu.
2d41f1aaf195a54e4bb4278efce9f3f4.jpg
Aseee Guardiola apunguze kuwanyoosha duh nami nafurahi sana tena ampige tu na tena awapige mana walisema sana Guardiola hana uwezo sasa hivi wanageuka mara anatuonea. Guardiola tu hivi je akija La Pulga si ndo mtagoma kabisa kuingia uwanjani.
 
Kivule umeona stat za first half vidal kafika 31km/hr na kwa barca ndiyo anaongoza kwa average spidi.
 
Aseee Guardiola apunguze kuwanyoosha duh nami nafurahi sana tena ampige tu na tena awapige mana walisema sana Guardiola hana uwezo sasa hivi wanageuka mara anatuonea. Guardiola tu hivi je akija La Pulga si ndo mtagoma kabisa kuingia uwanjani.
wasipoacha mpira wa kukimbiakimbia na kubutua/kuosha atawatesa sana.
 
Hivi hawa La Palmas wanashindwaje kurudisha hako kagoli?
Wakikaza matako wanaweza ndio maana nakomaa na chama langu lipate magoli ya kumwaga mana goli moja sio goli bali ni shot on target tu, ukitaka kuamini hilo ngoja wachomoe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom