Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Itakua poa sana maana naona kambi pinzani leo wametamba sana, sasa kesho wataamka wapole kama hakijatokea kituIpo ataipiga na assist zake kama.kawaida
Itakua poa sana maana naona kambi pinzani leo wametamba sana, sasa kesho wataamka wapole kama hakijatokea kituIpo ataipiga na assist zake kama.kawaida
Furaha yao kama ya funza wametamba masaa machache tuItakua poa sana maana naona kambi pinzani leo wametamba sana, sasa kesho wataamka wapole kama hakijatokea kitu
Hahah!! Ratiba ya game leo imekaa sawa sanaFuraha yao kama ya funza wametamba masaa machache tu
Ipo mkuuMkuu naomba tasmini leo hatuoni hatrick kweli?
Ngoja tuoneIpo mkuu
Bila shaka umeionaNgoja tuone
Ngapi ngapi...?Bila shaka umeiona
6-1Ngapi ngapi...?
Duh!
Hadi sasa 6-1Nyie mapimbi wenzenu tumeshinda 4-0.
Msijifanye mko bize kuchambua kasoro za Dembele mara hajui Ki Spain.
Hapo tungepoteza game leo mngebwatuka kishenz na mamidomo yenu hayo.
HALA MADRID.
Ptsiteshio tembea mbeleKwa majina naitwa John Hunter mtaalamu wa data&networking,natoa huduma ya
Unlimited internet
Kwa miezi 3 pasipo kikomo
_1mb/s 15,000
_4mb/s 30000.
Haina kikomo,tumia uwezavyo hata 1000GB kwa lisaa.....nione sasa.kwa wapenda video you tube bata kwaooo, bataaa saana pakua apps za magb.
Unlimited data
Hi ni kwa mwaka 1
_1mb/s 40000.
_4mb/s 90000.
Piga sasa hivi
0621072026....kwa wanaohitaji tu.
Inatumika nchi yoyote na mtandao wowote.ipo spidi kuliko mtandao uutumiayo..
Wengi wanafurahia mtandao kwa unlimited data ,je wewe?
Ma ball dancer mkuu ndo wanavokua mana chenga zake sio za kukimbizana za kutumia nguvu ni unatishwa uku ukienda uku anadesh ana desh tena we apo ushapoteza network lazima u paralyze kwa mda mkuu maana speed anayotumia kudesh na kudance ni speed ya light ambayo ata ubongo hauwezi kungamua anachofanya.leo mambo yalikuwa mazuri. right flank imefufuka. Ni jambo zuri bwana mdogo Dembele kupata assist. ila akazane kupiga skwati na chuma. na aache kabisa junk foods/kiepe yai🙂