FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Aya wazee twende na Dembele, tayar kocha ametoa green light yakumtumia full 100%
Katika kumsaidia afanye adaptation ya language,mfumo na uwanjani tayari Dembeli amewekewa special menu,translators,cook kutoka kwenye club moja kwa moja
Lets hope second leg na Chelsea ndo awe key player wakuwachekecha mabeki na mwanzo na mwisho wa winger zetu kuwa butu

Namste !!
 
Aya wazee twende na Dembele, tayar kocha ametoa green light yakumtumia full 100%
Katika kumsaidia afanye adaptation ya language,mfumo na uwanjani tayari Dembeli amewekewa special menu,translators,cook kutoka kwenye club moja kwa moja
Lets hope second leg na Chelsea ndo awe key player wakuwachekecha mabeki na mwanzo na mwisho wa winger zetu kuwa butu

Namste !!
Ni kweli nasikia dogo lugha ya Spain anaijuakidogo sana, kitu ambacho kimemfanya awe ana ongea zaidi na Umtti pia Digne kwasababu hawa ni wa Faransa wenzie.
Pia alikuwa anakula sana fast food kitu ambacho club haikupenda.
Wamekuwa wamekuwa wakitafta sehemu ya kukaa mama yake pia baba ake bila mafanikio, wazazi wake wametengana
 
Anafahamu Denis anatatizo gani anifahamishe maana kocha hamtumii kabisa
Mkuu mi nikiona squad Dennis hayupo halaf Semedo hayupo na S. Roberto kapangwa beki badala ya midfielder huwa naangalia mechi kwa shingo upande sana
b2c85145308fb41ebf3c5ffefb4deeaa.jpg
 
Ni kweli nasikia dogo lugha ya Spain anaijuakidogo sana, kitu ambacho kimemfanya awe ana ongea zaidi na Umtti pia Digne kwasababu hawa ni wa Faransa wenzie.
Pia alikuwa anakula sana fast food kitu ambacho club haikupenda.
Wamekuwa wamekuwa wakitafta sehemu ya kukaa mama yake pia baba ake bila mafanikio, wazazi wake wametengana
Hivi katika dunia ya kwanza hizi sababu ziina hold water kweli??kwa An established star hizi sababu ni ndogo sana-labda tuseme he has not hit the ground running and he still has time on his side,if i am not mistaken hata Neymar first season alikuwa not even ordinary
 
Hivi katika dunia ya kwanza hizi sababu ziina hold water kweli??kwa An established star hizi sababu ni ndogo sana-labda tuseme he has not hit the ground running and he still has time on his side,if i am not mistaken hata Neymar first season alikuwa not even ordinary
Mda husema ukweli, ngoja tuone baada ya kufix hizo shida nini atafanya
 
Mda husema ukweli, ngoja tuone baada ya kufix hizo shida nini atafanya
Kuna kitu,Barca kule mbele,wamepoteza ile customary coolness,ya ku interchange passes hence driving opposition defenders in confusion-ma defenders sasa wanawasoma na wanajua mpira utakwenda wapi-this was not the case before.Hali iyo ikirudi hawa akina Dembele will easily fit into the mold. Sasa tatizo one never knows what Velverde is thinking
 
Kuna kitu,Barca kule mbele,wamepoteza ile customary coolness,ya ku interchange passes hence driving opposition defenders in confusion-ma defenders sasa wanawasoma na wanajua mpira utakwenda wapi-this was not the case before.Hali iyo ikirudi hawa akina Dembele will easily fit into the mold. Sasa tatizo one never knows what Velverde is thinking
Dada Jack unadhani ni kwanini Valdeve hamtumii Denis labda wewe huko unaweza kuwa na taarifa
 
Kuna kitu,Barca kule mbele,wamepoteza ile customary coolness,ya ku interchange passes hence driving opposition defenders in confusion-ma defenders sasa wanawasoma na wanajua mpira utakwenda wapi-this was not the case before.Hali iyo ikirudi hawa akina Dembele will easily fit into the mold. Sasa tatizo one never knows what Velverde is thinking
Uko sahihi pale mbele kuna shida kabisa, sio ile barca tulio izoea. Kumbuka messi kwa match kadhaa amecheza nyuma sana , na kumchezesha Polinho pale mbele ni kujipotezea mda tu. Mfumo ambao barca saizi nauona watakuwa vzr pale mbele ni Suarez acheze kulia Messi ktk na Dembele kushoto
 
Uko sahihi pale mbele kuna shida kabisa, sio ile barca tulio izoea. Kumbuka messi kwa match kadhaa amecheza nyuma sana , na kumchezesha Polinho pale mbele ni kujipotezea mda tu. Mfumo ambao barca saizi nauona watakuwa vzr pale mbele ni Suarez acheze kulia Messi ktk na Dembele kushoto
Kweli mkuu mi kiukweli akichezaga Paulinho sioni umuhimu wake kivile zaidi ya kujaza viungo wengi bila sababu ya msingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom