Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Mkuu hii ni uhakika, mimi siamgalii historia kama wewe.Mechi bado hiyo ukumbuke aliwah kufa kadude pale na ukikumbuka mechi nyingi za mtoano barca kavuka kwa agriget akikutana na chelsea ila chelsea mechi mbili kamuosha bila agriget kwa matokeo ya leo na mwenendo wa chelsea bora kukaaa kimya tu mkuu
Ukiweza save haya maneno yangu tukutane camp nou.