FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

barca licha ya kutafuta ishindi wao wanatafuta na records ndio kinachofanya mpaka saizi wanapoteza nafasi kwa kutaka fulani ndio afunge, maana pasi nyingi sana ndani ya 18 wakati chelsea wao William akiona mwanya tu anaachia shine hata kama mbali, ...

Hebu watuwekee Countinho kwanza maana ndio anayefanya mpaka saizi niwe macho kuona maufundi
 
barca licha ya kutafuta ishindi wao wanatafuta na records ndio kinachofanya mpaka saizi wanapoteza nafasi kwa kutaka fulani ndio afunge, maana pasi nyingi sana ndani ya 18 wakati chelsea wao William akiona mwanya tu anaachia shine hata kama mbali, ...

Hebu watuwekee Countinho kwanza maana ndio anayefanya mpaka saizi niwe macho kuona maufundi
Coutinho hachezi mechi za UEFA mkuu mpaka next season
 
Ila wakuu mfumo wa 442 haufai kabsa pale mbele yan panakuwa kama hatuna striker Suarez anakaa pembeni sana
 
Camp nou lazima wafunguke kutafuta goli, hapo ndio watachezea koki vizuri mpaka waloe!

Otherwise, bado nalaum kwanini hatupigi from outside the box.

Pia defense imerudia kosa moja mara tatu. Kumuacha free willian eneo la hatari. Kagonga mwamba Mara mbili mwisho wa siku akaweka!

Inabidi waache kukabia macho.

Pique ameupiga mwingi sana, Suarez amekabwa sana, Iniesta amewaunlock sana.

We have an advantage!

Adios amigo
 
AD48259C-F63B-428C-9C9B-96E87477EA8D.jpeg
Picha ya siku
 
Camp nou lazima wafunguke kutafuta goli, hapo ndio watachezea koki vizuri mpaka waloe!

Otherwise, bado nalaum kwanini hatupigi from outside the box.

Pia defense imerudia kosa moja mara tatu. Kumuacha free willian eneo la hatari. Kagonga mwamba Mara mbili mwisho wa siku akaweka!

Inabidi waache kukabia macho.

Pique ameupiga mwingi sana, Suarez amekabwa sana, Iniesta amewaunlock sana.

We have an advantage!

Adios amigo
Cheisii kwisha habari yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom