FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Wakuu tunadhani tutampiga Chelsea
Anapigika kirahisi sana Chelsea. Maana hana kikosi imara kwa midfielder yao Bakayoko na zile Beki zao mawenge akina cahil na ile foward yao yenye kifafa morata hawa jamaa wanakaa mapema sana.

Ikumbukwe kwa sasa barca haina majeruhi yeyote yule. Timu iko physically and mentally fit. Tumetimia kila idara na record nzuri ya kutofungwa msimu huu kwenye ligi.

Relax! We gonna have a party.
 
Anapigika kirahisi sana Chelsea. Maana hana kikosi imara kwa midfielder yao Bakayoko na zile Beki zao mawenge akina cahil na ile foward yao yenye kifafa morata hawa jamaa wanakaa mapema sana.

Ikumbukwe kwa sasa barca haina majeruhi yeyote yule. Timu iko physically and mentally fit. Tumetimia kila idara na record nzuri ya kutofungwa msimu huu kwenye ligi.

Relax! We gonna have a party.
Kipindi kile Torres alikuwa ze kibonde,drogba ze kubahatisha,kocha ze kubabaisha!! Lakini mlikaa
 
Kipindi kile Torres alikuwa ze kibonde,drogba ze kubahatisha,kocha ze kubabaisha!! Lakini mlikaa
Torres alikuwa karogwa na juju za drogba..! Na juju hizo za Drogba zikatuvaa na sisi Barcelona.

But kama kuna game ambayo sina wasiwasi nayo basi ni hii ya Chelsea.. Bora wangekuwa Tottenham ningekuwa na Mashaka but Chelsea!? Hell no!
 
Daah kuna news nazskia kuwa messi hatak kumuona dogo dembele mechi ya kesho kamwabia ivo kocha...kama hizi taarifa ni za kweli basi ushabiki wangu kwake napunguza maana naona ka anajsahau alivokuwa chpukzi na jinsi gaucho alivomsaidia kukuwa....messi needs 2 help n encourage dembele in zc kind of moments dembele h s passin through...all in all i am wshn dembele would gonna reveal his good form n gonna b one of key players in our team
 
Daah kuna news nazskia kuwa messi hatak kumuona dogo dembele mechi ya kesho kamwabia ivo kocha...kama hizi taarifa ni za kweli basi ushabiki wangu kwake napunguza maana naona ka anajsahau alivokuwa chpukzi na jinsi gaucho alivomsaidia kukuwa....messi needs 2 help n encourage dembele in zc kind of moments dembele h s passin through...all in all i am wshn dembele would gonna reveal his good form n gonna b one of key players in our team
Uko sawa mkuu lakini kipinda kina Gaucho wanamshika mkono Mess nae alikua anashikika kweli mana alikua anauwasha sio kitoto, sasa Dembele pale hayupo academy wala hajatoka Lamasia bali kasajiriwa kutoka club kubwa tena kwa dau kubwa sanaaaa...

Sasa kwa kile kiwango anachoonesha anatupa mashaka ata sisi mashabiki sio Mess tu yani hajiamini anaogopa ogopa tu kama mpuuzi mixer majeraha hayamuishi kila kukicha...

Tunaelekea ktk game kubwa na yamuhimu hatuhitaji mtu anaetafuta ujasir uwanjani bali tunahitaji mtu anaejiamini na kuweza kusaidia timu kupata matokeo
 
Mess kama kafikia huko anazingua tena hasa kwani yeye ni game zote anafanya vizuri
Hakuna uthibitisho wowote kama messi kayasema hayo ingawaje kwa sasa Dembele hapaswi kabisa kucheza game ya kesho kutokana na intensity yake.

Game ya kesho inawahitaji experienced players kuimaliza. Kwani dembele ana majeruhi, hana confidence, hana stamina, hajamaster techniques and Barcelona philosophy.

So kama messi kayasema haya binafsi namuunga mkono La pulga maana anaipenda zaidi Barcelona kuliko mtu mmoja mmoja.
 
Mimi namuunga mkono messi hela kama tumeliwa mchezaji hana stamina kila siku majeruhi,mchezaji muoga...........coutinho kaja juzi lakini anacheza kama ana miaka sita barca
 
2daf421873664e6361134149289ceaae.jpg


Nyie mbeleko FC mnaikumbuka hii.?
 
Barcelona hajawahi kushinda darajani
Barcelona hajawahi kutoka na cleansheet darasani
Waleteni hao
Ilikuwa kipindi drogba ana majuju yake kutoka Ivory coast yaliyomrostisha hadi Fernando Torres but this time ni tik taka la kikatalonia na la masia hawa watoto wa mtaani wanaoishi chini ya madaraja wanakaa mapema sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom