Hali tete kweli na timu inaonekana kukosa mbinu mbadala kabisaDuh. Mbona hali tete jameni??? Mie nitazimia michambo ya jeshi jamani.
Wamepata 1..
Ila wanasemaga mpira dakika 90. Naomba jamani barca wasinivue nguo.Hali tete kweli na timu inaonekana kukosa mbinu mbadala kabisa
Nikweli lakini mbinu na jitihada za kupata goli hazionekani hilo ndio tatizoIla wanasemaga mpira dakika 90. Naomba jamani barca wasinivue nguo.
Mi acha nikalale utanisimulia kesho... Hawa Barca veepee?Ila wanasemaga mpira dakika 90. Naomba jamani barca wasinivue nguo.
Njoo mkuu usilaleMi acha nikalale utanisimulia kesho... Hawa Barca veepee?
Njoo kaka njoo usikate tamaa King katurudisha mchezoniHatuna mbinu kabsa
Nimerudi.... dah!Njoo mkuu usilale
Wamemkamata kweli kweliNimerudi.... dah!
Piga takataka hizi. L Suarez vipi leo?
Vp mrembo umeshalala nn? Mess kasikia kilio chakoIla wanasemaga mpira dakika 90. Naomba jamani barca wasinivue nguo.