Kama mpila ungekua ni shule
1:mwalimu mkuu__Alex Ferguson
2:mwalimu mkuu msaidizi__pep guardiola
3:mwalimu wa uchumi__wenga
4:mwanafunzi mwenye tamaa na pesa yaan yupo tayari ahame shule nzuri lakin apewe pesa__Neymal
5:mwanafunzi anayependa alama za juu __Ronaldo
6:mwanafunzi ambao wenyewe kila siku wanaumwa__Dembele,Bale
7: mwanafunzi ambaye anang'ata watoto wa shule za jirani__Suarez
8:mwanafunzi ambaye anapenda masomo sana na amawasaidia wenzake kufauru __Xavi na De bruyne
9:wanafunzi ambao kila siku ni matatizo shuleni ,Mara wapigane __pepe,gattuso,Di canio
10:mwanafunzi ambaye amezoea kufukuzwa darasani__Ramos
11;mwanafunzi mjinga ,anapata alama za chini na hapendwi na watu japo anasoma shule nzuri___Bakayoko
12:mwanafunzi ambaye anapenda kuhama shule ,yaani yeye shule karibia zote amesoma__Zlatan Ibrahimovic
13:mwanafunzi mpole,na yeye ndio analiokoa darasa__Hazard
14:mwanafunzi anayependa kufanya utani akiwa backbencha__Marcello
15:mwanafunzi ambaye anapenda mitihani mirahisi akipewa mtihani mgumu anahama shule__Dani Alves
16:mwanafunzi anayependa kujiremba na anapenda sana wanawake__Pogba
17:mwanafunzi ambaye anapenda kuhudhuria shule kikasiku lakini anafeli __Mephis Depay
18:mwanafunzi ambaye analaumiwa sana na walimu __Balotteli
Najua wengi mnahangaika kumtafuta Messi ,Messi ndio mmiliki wa shule