FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Suares kajituma sana. Assist zake 2 zimetupa ushindi.
Goal la kwanza mtangazaji anasema X- Liverpool players( #9 #14) wameipaisha Barca.
Messi haamini Alichofanya Phillipe Coutinho.
Well play barca.
Yaani Alikuwa misiri ya Mbwa mwitu mwenye njaa Kali porini. Kifupi alijituma zaidi ya 100%.
 
Klabu ya Barcelona Jana usiku imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Mfalme nchini Hispania (Copa del Rey) kwa kuicharaza klabu ya Valencia goli 2-0.

Magoli ya Barcelona yamefungwa na Ivan Rakitic na mshambuliaji mpya wa Barcelona Philippe Coutinho ikiwa ni goli lake la kwanza tangu ajiunge klabuni hapo akitokea Liverpool.

Barcelona wamefanikiwa kufuzu kwa aggregate ya magoli 3-0 baada ya mchezo wa kwanza Barca kushinda goli 1-0.

Barcelona itakutana na Sevilla kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Mfalme itakayochezwa Aprili 21, 2018.

Hii inakuwa fainali ya 5 mfululizo kwa Barcelona ambapo imeweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza Hispania kucheza fainali nyingi mfululizo na wamefanikiwa kuchukua kombe hilo mara nne.
 
03f098e20bd5f15cfabe50ad9aaea315.jpg
 
Messi kazua mjadala ktk redio za Barcelona baada ya kusema PSG na Man City ni team nzuri-wapenzi wa soccer wanadai Man city bado -wanauliza ni player gani wa man city anaweza pata number ktk current Barca eleven??? mnaotazama match za city hivi ni kweli huko kuna mchezaji wa kuwa first 11 ya Barca ????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom