FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Katika vitu vinavyoumiza ni hili la denis sijui alimkosea nini kocha. Hajawai kupangwa akaonyesha kiwango duni lakini kocha hataki kabisa kumpanga na wakat mwingne najiuliza inakuaje denis hata bench haonekani lkn gomes yuko uwanjan.
siku za karibuni naona kadennis huwa kanapoteana sana. sijui kutokujiamini sababu ya kusugulishwa benchi?
 
Messi kazua mjadala ktk redio za Barcelona baada ya kusema PSG na Man City ni team nzuri-wapenzi wa soccer wanadai Man city bado -wanauliza ni player gani wa man city anaweza pata number ktk current Barca eleven??? mnaotazama match za city hivi ni kweli huko kuna mchezaji wa kuwa first 11 ya Barca ????
Yupo Kelvin Debrune KDB na Leroy sane
 
Messi kazua mjadala ktk redio za Barcelona baada ya kusema PSG na Man City ni team nzuri-wapenzi wa soccer wanadai Man city bado -wanauliza ni player gani wa man city anaweza pata number ktk current Barca eleven??? mnaotazama match za city hivi ni kweli huko kuna mchezaji wa kuwa first 11 ya Barca ????
KDB na Sane wapo vizuri sana wanaweza kuanza kabisa ata David silva akiwa katika ubora wake ni aina ya wachezaji wa kichezea Barca
 
Messi kazua mjadala ktk redio za Barcelona baada ya kusema PSG na Man City ni team nzuri-wapenzi wa soccer wanadai Man city bado -wanauliza ni player gani wa man city anaweza pata number ktk current Barca eleven??? mnaotazama match za city hivi ni kweli huko kuna mchezaji wa kuwa first 11 ya Barca ????
De bryune Mkuu yuko level zingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom