Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Sitaki kuamuni kama Mtiti alitaka kufanya hvyo mkuu. HahahKuna mmoja mechi ilivyoisha alitaka kutandikwa makofi na umtiti
Sitaki kuamuni kama Mtiti alitaka kufanya hvyo mkuu. HahahKuna mmoja mechi ilivyoisha alitaka kutandikwa makofi na umtiti
Busara za pique ndizo zilizomfanya atulie otherwise angeua mtuSitaki kuamuni kama Mtiti alitaka kufanya hvyo mkuu. Hahah
Woyo...make some noise....!!Kuna wajinga wanasema Messi akienda EPL ataflop.
Wakati hata Deulofeu mkimbia riadha ameanza kuwanyoosha.
Barca sent deulofeu to test the mic, and Chelsea can't handle it!
We're going to tear down that bridge into very tiny pieces!
Mkuu huo ni ujinga wa mashabiki wa Mamaesta urinated ndio wanasemaga hivyoKuna wajinga wanasema Messi akienda EPL ataflop.
Wakati hata Deulofeu mkimbia riadha ameanza kuwanyoosha.
Barca sent deulofeu to test the mic, and Chelsea can't handle it!
We're going to tear down that bridge into very tiny pieces!
Mapema sana. Watakula za kutosha, Messi10 anaenda kuandika historia.Kuna wajinga wanasema Messi akienda EPL ataflop.
Wakati hata Deulofeu mkimbia riadha ameanza kuwanyoosha.
Barca sent deulofeu to test the mic, and Chelsea can't handle it!
We're going to tear down that bridge into very tiny pieces!
Ameshaanza kupiga jaramba kidogo kidogo. Hope atakuwa powa tu.Kuna haja ya Dembele apone haraka tuitengeneze sharp right flank kwa ajili ya UEFA ,God bless Barcelona
Asije akaugua ugonjwa wa akina Balle Mungu amsaidieAmeshaanza kupiga jaramba kidogo kidogo. Hope atakuwa powa tu.
Kabisa Mkuu.Asije akaangua ugonjwa wa akina Balle Mungu amsaidie
Serious, kwa maokeo haya ya Chelsea endapo akamkuta Barca yupo on form atabeba hata 4 pale Stamford Bridge.Kuna wajinga wanasema Messi akienda EPL ataflop.
Wakati hata Deulofeu mkimbia riadha ameanza kuwanyoosha.
Barca sent deulofeu to test the mic, and Chelsea can't handle it!
We're going to tear down that bridge into very tiny pieces!
Kama ulikuwepo akilini mwangu aiseee, Dembele apone tu, Coutinho nae angekuwa Uefa mbona hili kombe tungeshalihesabia 100%Kuna haja ya Dembele apone haraka tuitengeneze sharp right flank kwa ajili ya UEFA ,God bless Barcelona
Suarez hawezi kuwa na akili mbovu kumuacha Messi Barca, akili hizi chafu anazo Neymar tu.Mmeskia Enrique anataka amsali Suarez aende nae Chelsea
Nimevua kofia kwa ajili yako.Kama mpila ungekua ni shule
1:mwalimu mkuu__Alex Ferguson
2:mwalimu mkuu msaidizi__pep guardiola
3:mwalimu wa uchumi__wenga
4:mwanafunzi mwenye tamaa na pesa yaan yupo tayari ahame shule nzuri lakin apewe pesa__Neymal
5:mwanafunzi anayependa alama za juu __Ronaldo
6:mwanafunzi ambao wenyewe kila siku wanaumwa__Dembele,Bale
7: mwanafunzi ambaye anang'ata watoto wa shule za jirani__Suarez
8:mwanafunzi ambaye anapenda masomo sana na amawasaidia wenzake kufauru __Xavi na De bruyne
9:wanafunzi ambao kila siku ni matatizo shuleni ,Mara wapigane __pepe,gattuso,Di canio
10:mwanafunzi ambaye amezoea kufukuzwa darasani__Ramos
11;mwanafunzi mjinga ,anapata alama za chini na hapendwi na watu japo anasoma shule nzuri___Bakayoko
12:mwanafunzi ambaye anapenda kuhama shule ,yaani yeye shule karibia zote amesoma__Zlatan Ibrahimovic
13:mwanafunzi mpole,na yeye ndio analiokoa darasa__Hazard
14:mwanafunzi anayependa kufanya utani akiwa backbencha__Marcello
15:mwanafunzi ambaye anapenda mitihani mirahisi akipewa mtihani mgumu anahama shule__Dani Alves
16:mwanafunzi anayependa kujiremba na anapenda sana wanawake__Pogba
17:mwanafunzi ambaye anapenda kuhudhuria shule kikasiku lakini anafeli __Mephis Depay
18:mwanafunzi ambaye analaumiwa sana na walimu __Balotteli
Najua wengi mnahangaika kumtafuta Messi ,Messi ndio mmiliki wa shule
