Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,994
Mbona kama madrid walitoka kwa goli la ugenini.hakuna cha ugenini hapa. wanajumlisha magoli second leg na kama watakuwa sare wataenda penalt.
Mbona kama madrid walitoka kwa goli la ugenini.hakuna cha ugenini hapa. wanajumlisha magoli second leg na kama watakuwa sare wataenda penalt.
Hahahaaa. Alikuwa anacheza safe. Back passes nyingi siku hizi kagundua kuwa jamaa hana makuu japo ni alien. Yerry Mina inabidi akipige kama mwenzake
alien alieachwa na UFO hana makuu kabisa ndio mana Mtiti nae siku hizi namuona anapunguza hadi watu kadhaa anatoa pass... Ila huyo Yerry Mina akianza atauwasha sana maana yule chizi anajiamini sanaMaboya hawa wanaharibu mpira wa Spain yani wanapaki buss kama timu za England ila bora tumeshindaFT 1-0. Siyo ushindi mnene ila Valencia nayo siyo timu ndogo. Twende kwao na mwendo wa kuattack tu. Jpili tunapiga na Espanyol.




Ni kweli mkuu.Mbona kama madrid walitoka kwa goli la ugenini.
Umtiti ananikumbusha enzi za ubora wa Puyol hatari tupo kauchezea sana JanaInaonekana Umtiti kaupiga mwingi sana leo kule Camp Nou, maana comments za YouTube sifa zote kapewa yeye. Sijaangalia gemu, but I was not surprised kusikia Barcelona kashinda.




Ukiwa na beki kama Umtiti unaweza kuwa unatamani mshambuliwe ili uone show🙂Inaonekana Umtiti kaupiga mwingi sana leo kule Camp Nou, maana comments za YouTube sifa zote kapewa yeye. Sijaangalia gemu, but I was not surprised kusikia Barcelona kashinda.
Hahahah!! Hii hatar sana chiefUkiwa na beki kama Umtiti unaweza kuwa unatamani mshambuliwe ili uone show🙂
Yaap Gomez, Vidal na Alcacer ni wa kusepaBado Gomez
Spain wapenzi wa Barca wanasema Velverde anawalaza njaa-bookmakers spain hawatoi hela nzuri Barca ikishinda-Velverde kakaza kamba matokeo ni barca kushinda tuu-wanaomba alegeze uzi ili kuwe na element ya unpredactibility ili watu wapige pesa.Hela nzuri waweza ipata labda u bet Umtiti atapiga hat trick which is impossible-ukiweka hela kwa messi au suarez unaliwaUkiwa na beki kama Umtiti unaweza kuwa unatamani mshambuliwe ili uone show🙂
wekeni picha yake tumuone, maana simjui ila kuna jamaa black alikuwa hapo nyuma, alikipiga sana jana. nilikuwa namzarau sikujua kama ndo anapiga mpira vile, anyway ngoja ni google umtiti.Ukiwa na beki kama Umtiti unaweza kuwa unatamani mshambuliwe ili uone show🙂
Huyo ndiye azungumzwaye.Umtiti.Black man mfupi hacheki midevu one- leg( left).Ni hatari kwa tackle, interference, blocking hadi raha. Akicheza na Vermeleen utawapenda zaidi.wekeni picha yake tumuone, maana simjui ila kuna jamaa black alikuwa hapo nyuma, alikipiga sana jana. nilikuwa namzarau sikujua kama ndo anapiga mpira vile, anyway ngoja ni google umtiti.
![]()
Huyo hapo