messi, sure. alba, pique, umtiti, roberto, rkitic, vidaaal, busketi na iniesta. na cillesenKikosi wadau kipoje?
Robelto, alba, piq na umtiti nyumaKikosi wadau kipoje?
mi natumia mobdro bein sport 3wekeni link basi wadau
Kama unatumia PC tumia goatdee.net. hii site haijawahi kuniangusha. nimehamia kwenye pc sababu wanatangaza kiingereza.wekeni link basi wadau
Tunawasakama ila wamejipanga vizuri nyuma. Tukipigwa counter ya hatari tutakuwa vibaya maana hawa madogo kwa spidi.
Goal lao wamepiga seal ,wamejazana sijui watafanyaje second halfmpira wa spain saa ingine wa ajabu,hawa Valencia wako nafasi ya 3 on merit au bahati?? mbona naona Barca kama wako mazoezini??
match kama hii unapigwa la counter attack lazima ulie-maana game anacheza BarcaGoal lao wamepiga seal ,wamejazana sijui watafanyaje second half
Yeah game ya robo uwanjamatch kama hii unapigwa la counter attack lazima ulie-maana game anacheza Barca
yeah angalia hapo nyuma full 4.4.2Yeah game ya robo uwanja