FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Messi match ya juzi kaharibu mood yangu-hizi timu zinazojaza watu nyuma ukifika kwenye 18 unatakiwa ufunge macho u shoot na sio utafute placing au goal la akili. Suarez katika maeneo haya ufunga macho na kuachia bullet shot
Of cause madogo walibana sana. Penetration pasi zote hazikufanya vizuri. Lakini pia, Semedo na Digne hawa kucheza vizuri cause walikuwa hawapandishi mipira mbele zaidi kupitia pembeni. Hasa Digne kila akipata mpira anarudisha ndani wakati huo madogo wamechazama pale kati.

Salute sana kwa Fundi wetu Ernesto Valiverd aliliona hilo na kufanya super sub kwa wakati sahihi. S.Roberto na J.Alba walifanya kazi nzuri sana. Kifupi Jana tusingechomoa asee.
 
Of cause madogo walibana sana. Penetration pasi zote hazikufanya vizuri. Lakini pia, Semedo na Digne hawa kucheza vizuri cause walikuwa hawapandishi mipira mbele zaidi kupitia pembeni. Hasa Digne kila akipata mpira anarudisha ndani wakati huo madogo wamechazama pale kati.

Salute sana kwa Fundi wetu Ernesto Valiverd aliliona hilo na kufanya super sub kwa wakati sahihi. S.Roberto na J.Alba walifanya kazi nzuri sana. Kifupi Jana tusingechomoa asee.
Sema opposition defence yao iliamka vizuri,on any other day hawa wangepigwa nyingi
 
e6f40e96bb87968be3b424b6579f5a11.jpg

Anaondoka kijana Wetu,
 
NAKUMBUKA

Nakumbuka miaka kadhaa nyuma Mess anashine pia akijiokotea mituzo kila leo na ushindani wa nani zaidi kati yake na Ronaldo ulikua kila kona, hapa ikumbukwe Ronaldo bado alikua kwenye kiubora chake sio kama sasa hv kishazeeka na kuisha ata mikasi yake awez tena kupiga

Sasa nakumbuka hoja kubwa ya wapinzani wa Mess na barca ilikua nikwamba Mess anabebwa na watu kama Xavi na Iniesta ambayo kwangu ilikua ni hoja dhaifu sana...

Sasa miaka kadhaa imepita kile kizazi na watu waliokua wanaonekana kumbeba MESS aonekane ni bora wametoweka na Mess bado yupo kwenye ubora wake tena sahv yupo kwenye ubora wa kiutuuzima, maana Mess sasa hv anatakiwa kuhakikisha wenzake wanacheza mpra mzur, kufanya wenzie wafunge (kutoa assist) na kikubwa ni kuhakikisha timu inashinda...

Nilikua nakumbuka nyuma kidogo na kuwakumbusha wapinzani kua
Mess ni One man army
Mess ni Jini mpira
Mess ni mzimu jmn
Mess sijui nimuelezee vipi tu ilinieleweke?
Najivunia sana kuwa duniani kumshuhudia Mess
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom