FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Huyo kwishinei tayari, kwenye soka umri haudanganyi bana. Aende zake MLS au Uchina akawe highest paid huko. Hiyo mipira 5 ya dhahabu (ballon d'or) aliyovizia vizia inamtosha sana.
Hahah! n kweli mkuu ila tumuombee King aongeze mpira mwngine wa dhahabu mana kulingana na huyo boya sio vizur n dharau sana
 
Hahah! n kweli mkuu ila tumuombee King aongeze mpira mwngine wa dhahabu mana kulingana na huyo boya sio vizur n dharau sana
Amina Mkuu. Tukifanikiwa kufika fainali UCL msimu huu, Genius lazima achukue ya 6.
87e5b8d6540df0c54a90307dda0ffb56.jpg
 
Hii line up sijui kama tutatoboa. Siku ile Digne walipoanza na Semedo tulikamatwa na game ilikuja badilika tulipofanya changes. Alba na Roberto ni watu muhimu sana kwa game hii ngumu. Kocha kadharau game. King pia bench.
Mwenyewe nimeshangaa sana nadhani kocha kwanza amempa Cotinho majukum ya messi
 
Mimi hata sioni shida sana k
messi kuanzia bench. Tatizo pale kwa Digne na Semedo. Huwa wanapanda sana na kujisahau mnoo
Mda utatuonesha, kocha kaaza kujiamini sana. Espanol sio wa kuwabeza sana maana wamesha tufunga kwa copa de ley first leg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom