FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hapo ndipo tunapojisifu kuwa tuna jopo zuri la ufundi mfano kuna dogo tumemchukua toka arsenal kwa paund million 20 hajawahi kabisa arsenal kubwa lakini ndyo roho ya team ya vijana ya UK
Hakika wanafanya kazi yao vyema kabisa mkuu
 
wekeni picha yake tumuone, maana simjui ila kuna jamaa black alikuwa hapo nyuma, alikipiga sana jana. nilikuwa namzarau sikujua kama ndo anapiga mpira vile, anyway ngoja ni google umtiti.
Huyo ndo yeye Umtiti ni bei mmoja matata, binafsi mimi namkubali sana
 
Usiombe beki akae umtiti na Tv Thomas vermalen unaweza usipite kamwe wote wanafiki mguuni kabisa hawakabii macho ni kama mshikaji wangu wa humi @kwausalama wangu anavyochezaga combat football homeboy wangu soon tu nakuja tupige kazi
 
Usiombe beki akae umtiti na Tv Thomas vermalen unaweza usipite kamwe wote wanafiki mguuni kabisa hawakabii macho ni kama mshikaji wangu wa humi @kwausalama wangu anavyochezaga combat football homeboy wangu soon tu nakuja tupige kazi
Hahah!! Kiongozi umenikumbusha combat football mana siku hz haichezwi kabisa maeneo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom