franksarry
JF-Expert Member
- Nov 9, 2009
- 1,284
- 481
Week ya Law, kuelekea Law Day kuratibiwa na Mahakama Kuu or Ikulu??!!!Ikulu haiwezi kualika watetezi wa Ushoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Week ya Law, kuelekea Law Day kuratibiwa na Mahakama Kuu or Ikulu??!!!Ikulu haiwezi kualika watetezi wa Ushoga
Ikulu ni mahali patakatifu, majizi na mashoga na masagaji hayaruhusiwi na Mungu kwenda hapo.
Aite press aongee utumbo wake ikulu hatakiwi.
All you do is antagonize the president and you expect him and his people to invite you to their events?
Hapana. Hiyo ni symbol ya mwanamke yaani, ni duara yenye kijiti ikimaanisha kioo. Symbol ya mwanamume, ni kama ilivyo ya mwanamke, Lakini mwishoni, kuna mshale, maana yake mkuki wa mwindaji.Ivo vimsalaba vyenye kirungu juu si ndiyo kama vya Diamond platinum?sory vijumlisha
Nasema hiviiiii fatma aende akaite press ufipa, ikulu ataisikia tu tbc kama kina lema wanavyoisikia maana siku hizi hamna juisi.Maneno mazito hayo..
Pia si vibaya kukumbuka wale wageni wa family moja musicians.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Woman please!!
Who’s scared of what you got to say?
Stop being a narcissist.
All you do is antagonize the president and you expect him and his people to invite you to their events?
Fine. Call your press conference and say what you want to say and stop whining about not getting an invite.
Huendi mbinguni!Woman please!!
Who’s scared of what you got to say?
Stop being a narcissist.
All you do is antagonize the president and you expect him and his people to invite you to their events?
Fine. Call your press conference and say what you want to say and stop whining about not getting an invite.
Wenzio tunamwelewa mubashara labda wewe na wenzio wa darasa la saba A na B ndio hamumwelewi shangazi wa taifa.Shangazi kwenye kufikisha ujumbe kwa karamu bado sana.sijui huko kwenye kuongea inakuwaje.
Hebu soma ulichoandika kwanza naona kama uelewa wako ni wa mashaka sanaShangazi kwenye kufikisha ujumbe kwa karamu bado sana.sijui huko kwenye kuongea inakuwaje.
Ni ujinga na low IQ kuwacheka wenzako kwamba hawajui language fulani wakati na wewe pia hauijui hiyo language, mimi nimedili na native speaker wengi wa english language maishani mwangu lkn hata siku moja hawakuwahi kunicheka popote pale nilipokosea zaidi ya kunisahihisha, ndo maana nashangaa mtu kama Tundu Lisu ambaye pia hajui english language pia anawadhalilisha wenzake tena Majaji Bungeni kwa ujumla wao kwamba hawajui english, Muzungu native wa english hawezi kusema hivyo!
Kwa nn Unaamini Kwamba Amekuwa stopped kuattend? Kwa nn hajatuwekea Namba aliyopewa apige kwa Huyo Mtu?
Wenzio tunamwelewa mubashara labda wewe na wenzio wa darasa la saba A na B ndio hamumwelewi shangazi wa taifa.
Delete "there'
Kazi ya TISS sivyo kuhakikisha kwamba RAIS hachukizwi na maneno ya watu. Kazi ya TISS ni kumshauri Rais wananchi wanasema nini ili aweze kurekebisha POLICY zake. Hawa wanataka nisiende Law Day kwa sababu wanaogopa speech yangu. Are you people serious? Mnaogopa MAWAZO na MANENO🤣
Mediocrity ya thinking ya hao watu wa “IKULU”: tusema mnanistoppisha kwenda Law Day si nitaita Press Conference na nitasema. Hayo maneno nitayoyasema Magu hatoyasikia?Na political repercussions mnazijua? Come on people THINK before you ACT! 🤦🏻♀️ And LEARN FROM YOUR ERRORS!🤦🏻♀️
View attachment 1008600
View attachment 1008601
Swali la kule UGNasubiri siku na yeye akihojiwa na Muzungu BBC tusikie uhodari wa Kidhungu kwa maana kama kilaza mwenzie pia hujifanya mabingwa wa english ila wakikutana na mwenyewe Muzungu native speaker wanaanza kujiuma uma, you know Sackur nyiingi, hata anachoulizwa hakielewi!